Mnanje Boy
JF-Expert Member
- Jan 20, 2018
- 395
- 1,195
Yaani nikifikiria kusafiri kutoka Ndola huku Zambia mpaka Vwawa kisha Mbeya mjini kwa ajili ya usaili wa Utumishi halafu unakandwa usingizi sipati.
Buku bado ila wanakaribia.. hapa taasisi mbalimbali tutaisikia mwezi wa 6 uko.sjui
kama wamefika hata buku tangu waanze kuitwa 🤣 🤣
Kwenye qualifications requirements ya tangazo la kazi wameitaja Biomedical engineering??? Kama wameitaja basi relax mkuu hiyo ni changamoto yao ya kimfumo baada ya muda Huwa wanaiweka sawa.Hivi wakuu kuna namna nyingine ya kuwapata watu wa ICT wa UTUMISHI zaidi ya email na namba zao walizotoa kwenye website?.
Maana kuna post nina apply ila inagoma inasema "Job Application failed" ilihali hiyo kazi ni ya kada yangu kabisa, Biomedical Engineering"View attachment 3267466View attachment 3267467
Ni hii mkuu.Kwenye qualifications requirements ya tangazo la kazi wameitaja Biomedical engineering??? Kama wameitaja basi relax mkuu hiyo ni changamoto yao ya kimfumo baada ya muda Huwa wanaiweka sawa.
Basi relax mkuu itakuwa ni changamoto yao ya kimfumo Kuna muda Huwa inakaa fresh jaribu mara kwa mara baada ya masaa kadhaa ikiwa bado watumie ujumbe kwa email wataitatuaNi hii mkuu.
Sawa mkuu. Nimewatumia email tangu jumapili ngoja niendelee kusubiri na kujaribu.Basi relax mkuu itakuwa ni changamoto yao ya kimfumo Kuna muda Huwa inakaa fresh jaribu mara kwa mara baada ya masaa kadhaa ikiwa bado watumie ujumbe kwa email wataitatua
Yah kama deadline bado bado sikilizia nilishawahi kumbana na hiyo changamoto niliwa email kesho yake ilikubali...kwahiyo inawezekan wenyew hawajagundua kama Kuna hiyo shida pia usiache kuwatafuta kwa simu mana inawezekan wanapokeaj email nying wakashindw ifikia kwa wakat Yako.Sawa mkuu. Nimewatumia email tangu jumapili ngoja niendelee kusubiri na kujaribu.
Mhh mbon wanafukuzana na walimu kwa idadiWatu walioomba 135,027
Ajira zilizotangazwa 1596
Daah huko TRA pa moto Sana 🙌🙌
Watu laki Moja wanaoomba nafasi elfu moja tatizo la ajira ni changamoto sanaMhh mbon wanafukuzana na walimu kwa idadi
Watu walioomba 135,027
Ajira zilizotangazwa 1596
Daah huko TRA pa moto Sana 🙌🙌
Bado mkuu kwa maelezo yao week ijayo wanaweza wakatoaVipi mkuu kwani mkeka wa TRA tayari? hii idadi ni kubwa sana aisee
naskia kuna mjinga anataka tulio na degree turudi veta tukasomee ufundi tujiajiri.🤣 🤣 🤣
huyu mzee nilijua tu ipo siku ataaribuView attachment 3268148 degree tumechokwa kaka
kwa staili hii ndo maana alitafutiwa makamuView attachment 3268148 degree tumechokwa kaka
Hii pdf ni mchanganyiko na afisa hesabu au ni mmoja tuKuna Pdf limeachiliwa huko la kuitwa kwenye usaili
Hongera mkuu kapambane 💪💪Hallo nashukuru Mungu niko shortlisted aisee
MchanganyikoHii pdf ni mchanganyiko na afisa hesabu au ni mmoja tu