Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Interview tushafanya sana, issue placement
 
Jobless mmeanza kutukana😂😂😂😂😂😂😂kwakweli tuna hali mbali pia huu uzi ulikuwa umebase zaidi kuhusu placement ambazo ndo hizo tulidhani zinahusiana na status ,lakini hapo kati watu wakaanza kuuliza maswali humu kuhusu interview na jinsi yakujibu kwahiyo yakawa yanajibiwa humu na aliyekuwa anajua au anaelewa alielewesha wengine
Lakini huu uzi haikuwa wa maswali kama ni maswali kuna uzi wake pia ulianzishwa ambapo maswali mengi yapo kule pia
Tuangalie pia kueleweshana humu maana naamini Kuna wanaojua zaidi yetu humu ndo maana wewe unaweza kufeli written lakini mwenzio akapata 90 na wala hakuwa na kimemo ni jinsi alivyofata miongozo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…