[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Leo jioni nilipigiwa na namba ngeni nikajua ADEM, kumbe matapeli.....eti hooo unaongea na Stewart toka Airtel makao makuu, kuna pesa zimetumwa kwako kimakosa....ebu twambie mara ya mwisho kwa akaunt yako ulikuwa na bei gani. WAJINGA SANA JAAMAA. nika mchana akaanza nitukana jobless tunapata tabu sana [emoji19][emoji19][emoji19]
Hii taarifa siyo ya kweli, jobless sijui tuna nini?!!!😅😅😅Wizara ya kilimo kuna jobless kasema hapa jana kuwa watu walishapigiwa simu tangu mwezi uliopita. Jamaa yake ambaye ni Afisa Kilimo kashapigiwa
Hahaaa dah hatari sanaElimu kubwa unayo, Ila unatamani hata ue dereva ngorongoro kwenye hiyo placement ya leo!!!
Aisee nazidondoshea mate hizo za uderva natamn ningekua dereva 🤣🤣Elimu kubwa unayo, Ila unatamani hata ue dereva ngorongoro kwenye hiyo placement ya leo!!!
😂😂😂😂😂Siwameweka moja tu mzee tena ya databaseLeo placement zitamwagika kama njugu😂🤣🤣🤣
😂😂😂😂Jobless mnazingua kinoma hahhhhh kwahiyo apo unatamani ungekuwa na kaleseni kako hiviAisee nazidondoshea mate hizo za uderva natamn ningekua dereva 🤣🤣
Bwana wee nataman kuisaliti degree 🤣🤣😂😂😂😂Jobless mnazingua kinoma hahhhhh kwahiyo apo unatamani ungekuwa na kaleseni kako hivi
Niliambiagwa degree ni makaratasi tu kama makaratasi mengine 😂😂😂😂Bwana wee nataman kuisaliti degree 🤣🤣
Zamani walikuwaga wanaruhusu sijajua hii kupitia utumishi ipojeUkiwa una degree halafu una leseni ya udereva unaruhusiwa kuomba kazi ya udereva? Nina jamaa yangu aliingia tanesco kuchimba mashimo baadaye walipotangaza kazi ya profession akatoa vyeti chapu wakamchukua
Ndo maana nimesema wanatuchezea sana akili ni mambo ya ajabu sana watu wanasubiri placement wajue hatima ya kile walichofanya then wanaweka kapdf kaajabu as if wanatujaribu ,mambo yakiwaki sanaSema utumish daaah, ako ka mkeka kenyewe duuh
Mishahara yao iko poa sanaElimu kubwa unayo, Ila unatamani hata ue dereva ngorongoro kwenye hiyo placement ya leo!!!
Wale wanasafari nyingi kwahiyo hela uhakikaMishahara yao iko poa sana
Unataka ushahidi gani? Amini unachoambiwa . Huyu ni ndugu yangu na ndiye aliyenipa nguvu ya kwenda written ya naot baada ya kuona kumbe nafasi zinawezakuwa 3 lakini mkachukuliwa hata 50. Jamaa alipigiwa simu kama utani wakati oral alijua kachemkaHii taarifa siyonya kweli, jobless sijui tuna Nini?!!![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Alipigiwa simu taasisi gani na lini? Nataka nijifunze kitu kakaUnataka ushahidi gani? Amini unachoambiwa mkuu. Huyu ni ndugu yangu na ndiye aliyempa nguvu ya kwenda written ya naot baada ya kuona kumbe nafasi zinawezakuwa 3 lakini mkachukuliwa hata 50. Jamaa alipigiwa simu kama utani wakati oral alijua kachemka
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Elimu kubwa unayo, Ila unatamani hata ue dereva ngorongoro kwenye hiyo placement ya leo!!!