Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hii taarifa siyonya kweli, jobless sijui tuna Nini?!!![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Unataka ushahidi gani? Amini unachoambiwa . Huyu ni ndugu yangu na ndiye aliyenipa nguvu ya kwenda written ya naot baada ya kuona kumbe nafasi zinawezakuwa 3 lakini mkachukuliwa hata 50. Jamaa alipigiwa simu kama utani wakati oral alijua kachemka
 
Unataka ushahidi gani? Amini unachoambiwa mkuu. Huyu ni ndugu yangu na ndiye aliyempa nguvu ya kwenda written ya naot baada ya kuona kumbe nafasi zinawezakuwa 3 lakini mkachukuliwa hata 50. Jamaa alipigiwa simu kama utani wakati oral alijua kachemka
Alipigiwa simu taasisi gani na lini? Nataka nijifunze kitu kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…