Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Leo jioni nilipigiwa na namba ngeni nikajua ADEM, kumbe matapeli.....eti hooo unaongea na Stewart toka Airtel makao makuu, kuna pesa zimetumwa kwako kimakosa....ebu twambie mara ya mwisho kwa akaunt yako ulikuwa na bei gani. WAJINGA SANA JAAMAA. nika mchana akaanza nitukana jobless tunapata tabu sana [emoji19][emoji19][emoji19]