Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Pigeni simu psrs kuuliza!!!
 
Hiyo placement inaandikaje? Hamna aliyepata ajira akaandikiwa placement
Haiandiki placement hata Mimi sijui inaandikaje lakini tujue tu ile status ina maana yake unaporun code yoyote kila unachoandika kinamaana yake na Lazima kitoe output kwahiyo zile status zinaandikwa kwenye sytem kuwa huyu akifaulu oral output itatokea selected for oral
N.B hii ni kwa mimi ninavyoelewa system yoyote inavyokuwa programmed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…