Kweli mkuu.Ile ya Cive nilikandwa aseeh lakini nilikuwaga nimesoma mpka nikawa najiuliza Hawa utumishi watachomokea wapi yani lakini nikakandwa kwakukosa marks mbili nikaja Duce ambayo sikuwa nimeizingatia sana aseeh nilipitaga nayo kwa kupata marks za juu kabisa ,kwahiyo nilichojifunga unapopanga Jambo ,Mungu nae ana njia zake zakukuonesha utukufu wake.
Tusisahau kusali wakuu
KabisaHuwa wanasema lugha ni silaha kubwa sana
Hahaha, muhimu kusubiri PDF tuUmeupiga mwingi huko mkuu, endelee kuwapiga maswali kila wanapopost ili tuweze kupata updates.
Insta nimekuwa sana mzito kuitumia
Mbona kama la mchongo hili?chuo wanatumia Gmail kweli???Watakuwa wana uhitaji sana, wameamua watangaze wao na maombi yaelekezwe kwao.
Mlio nasifa jaribuni bahati yenuView attachment 2420364
Ungewauliza jina lako lipo?ππππHahaha, muhimu kusubiri PDF tu
Hawawezi jibu hiloπ€£π€£Ungewauliza jina lako lipo?ππππ
Ngoja nitaenda wauliza waangalie jina languπππHawawezi jibu hiloπ€£π€£
Yes tusubiri pdf ya sikuMida ya PDF inakaribia
ππWataona jobless tumevurugwa sanaNgoja nitaenda wauliza waangalie jina languπππ
ππππHata hivyo ujobless umetuvuruga sana aseehππWataona jobless tumevurugwa sana
Hivi ni lazima PDF itoke moja kwa siku. Si wangeweka hata PDF 7 kwa siku za placements. Mbona kwenye advertisement na interview inawezekanaYes tusubiri pdf ya siku
Nafikiri labda kuna pesa kwenye kuziweka hizo pdf kwahiyo wakiweka zote siku moja hela watapataje?ππππππππnimewaza tuHivi ni lazima PDF itoke moja kwa siku. Si wangeweka hata PDF 7 kwa siku za placements. Mbona kwenye advertisement na interview inawezekana
Tatizo jina la yule mtu anaitwa NEY Darling@Ahmet anauliza kwa heshima na taadhima anajibiwa, halafu jobless mwingine analalamika hajibiwi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hamna pesa hataNafikiri labda kuna pesa kwenye kuziweka hizo pdf kwahiyo wakiweka zote siku moja hela watapataje?ππππππππnimewaza tu
Wameona mambo yasiwe mengiTatizo jina la yule mtu anaitwa NEY Darling
nadhani wanafikiri ni yule msanii anayeiponda serikali kila siku that's why wameuchuna
Sasa labda pdf mpaka zipitishwe na kikao kwahiyo IT yeye anasubiri tu mpaka zipitishwe na wanaopitisha wanaopitisha moja maoja ili wapate hela yakukaa kikaoHamna pesa hata
Wapiga makelele na majobless pro max kule insta syo wengi ,ndo maana wanapost kule ,waje Sasa jamiiforum hadi facebook Watu mtaanza kuwauliza mpaka maana ya zile StatusInsta inapendwa sana, sijui kwanini. Ofisi nyingi zinapage huko kuliko kwenye mitandao mingine
Labda ila wangeziweka tujue Moja aseeSasa labda pdf mpaka zipitishwe na kikao kwahiyo IT yeye anasubiri tu mpaka zipitishwe na wanaopitisha wanaopitisha moja maoja ili wapate hela yakukaa kikao