Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Hahhhh kwamba wazee wa shortlisted wazee wakukaa data base aseeh Mungu aoneshe njia ninunue Subaru
 
MmhπŸ€”
 

Kuna kiji taasisi kipo vizuri mno kulikuwa na kibali cha ajira japo nafasi zao hazizidi kumi psrs hawaja publish walipo uliza wakambiwa aina ya watu hao wanao kanzi data wenye sifa kuendana na zao hongereni PSRS,,, Ndipo nilipo jitoa kutafuta flash kwa nguvu mno πŸ˜‚πŸ˜‚ kwahiyo kanzi data iseme TANGAZO HILI LINAJUMUISHA WATU WALIYOKUWEPO KATIKA KANZI DATA
 
Katika vitu vyenye tension kubwa ktk nchii hii ni ajira...ukipat ajira serkalini nchi hii shukuru mungu wako sana...tunakaa miezi 3 kinakuja kutoka kitangzo cha watu ata 30 hawafiki duh safr bado ndefu sna tuzidi kuomba mungu tufikie kwenye mrija wa asali
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Hahhhhh data base iheshimiwe aseeeh
 
Inasikitisha sana😬😬😬😬
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…