Ngoja tuwait tuone inakuaje leoJioni ya placement imefika sasa
Placement baada ya miezi miwiliNgoja tuwait tuone inakuaje leo
Mwezi ujaoPlacement baada ya miezi miwili
Sisi tuliambiwa tue online kuanzia wiki tatu, inakaribia miezi saba now!!!!watu waliofanya oral interview HESLB waliambiwa majibu ya interview zote yatatolewa kabla ya mwezi huu haujaisha so tuendelee kusubili kama sio leo labda kesho😂😂😂
Binafsi sikusikia hilo jambo.watu waliofanya oral interview HESLB waliambiwa majibu ya interview zote yatatolewa kabla ya mwezi huu haujaisha so tuendelee kusubili kama sio leo labda kesho😂😂😂
Usimpe mtu biashara kwakua tu ni mtu wako wa karibu au unampenda sana.maana atakuja kukudisapoint ukamchukia.biashara haina undugu kabisa ndio Ile wanaita separate legal entity hyo ni principle Moja ya biashara.sio muandishi mzuri sana ila I wish ningeweza kudesplay vizuri nnachotaka kusema ukielewe.otherwise kama unampa ndugu umeamua kumbless ni ya kwake ikikua haya ikifa sawa......kuhusu kumpatia mke hiyo ni case tofauti kabisa ila Kuna wanawake Wana akili sana na Wana vichwa vya biashara ukibahatika kumpatia huyo na ukamgundua ana akili na trustworthy wanatufikisha mbali mnoo maana nae anajua anaepambania future ya watoto wake.Vipi kwa baba napo?
Ahmet huyo tunae humu🤣Kweny insta nmeona kuna jamaa kawaulizaa psrp et placement za MNMA, ADEM, IFM IAE, lini?? Psrp Wanamjibu SOON ,,jamaa mwingine anamuuliza yule ni muda gaani ,hawajatoa pengne wengne washapigiwa simu ,,PSRP Wanamjibu et angaliaga website yetu?? 😂😂 Sio poa aisee
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂Nikajua angaliaga status hahhh
Ndo ukubwa huo😂😂😂Sisi tuliambiwa tue online kuanzia wiki tatu, inakaribia miezi saba now!!!!
Kijana wangu anapambana kama anastruggle for independence aseeh😂😂😂😂😂Ahmet huyo tunae humu🤣
Namuelewa kachoka huko aliko🤣🤣Kijana wangu anapambana kama anastruggle for independence aseeh😂😂😂😂😂
Wenyewe tuliambiwa wiki 3 na sasa ni miezi mitatuSisi tuliambiwa tue online kuanzia wiki tatu, inakaribia miezi saba now!!!!
Sawa hapa. Ila Sasa mtaalam hapa Kwa akili ya kijasiliamali inabidi umpige mimba kwanza mke🤣🤣🤣 ili ajue kabisa hapa napambania maisha yetu na mtoto naona ukimwacha hivi hivi atakula mtaji au akapata kajamaaa akahonga Bure nikafa na stress 🤣🤣🤣Usimpe mtu biashara kwakua tu ni mtu wako wa karibu au unampenda sana.maana atakuja kukudisapoint ukamchukia.biashara haina undugu kabisa ndio Ile wanaita separate legal entity hyo ni principle Moja ya biashara.sio muandishi mzuri sana ila I wish ningeweza kudesplay vizuri nnachotaka kusema ukielewe.otherwise kama unampa ndugu umeamua kumbless ni ya kwake ikikua haya ikifa sawa......kuhusu kumpatia mke hiyo ni case tofauti kabisa ila Kuna wanawake Wana akili sana na Wana vichwa vya biashara ukibahatika kumpatia huyo na ukamgundua ana akili na trustworthy wanatufikisha mbali mnoo maana nae anajua anaepambania future ya watoto wake.
Hapa hazungumziwi ambae sio mke broo🤣🤣🤣Sawa hapa. Ila Sasa mtaalam hapa Kwa akili ya kijasiliamali inabidi umpige mimba kwanza mke🤣🤣🤣 ili ajue kabisa hapa napambania maisha yetu na mtoto naona ukimwacha hivi hivi atakula mtaji au akapata kajamaaa akahonga Bure nikafa na stress 🤣🤣🤣