makofia360
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 776
- 2,392
Jioni ndiyo kila kitu mzee saa 12 mpaka saa nne usikuMwamba unauzoefuu na hiyo sehemu ya placement [emoji23][emoji2][emoji2]
mimi huwa na zoom Website Mornie... ngojq sasa niwe na zoom na jion nijiongezeee ma pressure.
Upo sawa kabisa ni mida hiyo ila uhakika hapo Ngoma saaa tatu sema nimekua Kama mimebet najua kabisa lazima mkeka utoke jioni ila Kila time nipo placement dah maisha hayaJioni ndiyo kila kitu mzee saa 12 mpaka saa nne usiku
Boss, Hivi ikitokea umekuwa shortlisted si pale kwenye Application status panabadilika from "Received". Or Kuna sehemu nyingine ya kucheck ?Upo sawa kabisa ni mida hiyo ila uhakika hapo Ngoma saaa tatu sema nimekua Kama mimebet najua kabisa lazima mkeka utoke jioni ila Kila time nipo placement dah maisha haya
Panapadilika unaambiwa shortlisted na unapewa namba ya interviewBoss, Hivi ikitokea umekuwa shortlisted si pale kwenye Application status panabadilika from "Received". Or Kuna sehemu nyingine ya kucheck ?
Ina kaaa kama hivyo mkuu ukiwa shortlisted kwa jiri ya Written INTERVIEW.View attachment 2311194
Mkuu, hivi bado mkeka wako hujatoka tu kijana, Jana si ulisema tar 1 August ambayo ni leo.Nimetobooa kiaje mimi nimemtumiia jamaa apate kuelewaa...
maana jobless wa kada yangu tumejazana wa kutosha kitaa wengine wapo wanapigika na wahindi.
hapa kikubwa dua, na maombi yako yatimiie.
Nimetobooa kiaje mimi nimemtumiia jamaa apate kuelewaa...
maana jobless wa kada yangu tumejazana wa kutosha kitaa wengine wapo wanapigika na wahindi.
hapa kikubwa dua, na maombi yako yatimiie.
Pamoja sana boss, nimekupata fresh👍Ina kaaa kama hivyo mkuu ukiwa shortlisted kwa jiri ya Written INTERVIEW.View attachment 2311194
Noma aiseee tuchungulie chungulie wiki hiiUpo sawa kabisa ni mida hiyo ila uhakika hapo Ngoma saaa tatu sema nimekua Kama mimebet najua kabisa lazima mkeka utoke jioni ila Kila time nipo placement dah maisha haya
Hapo mpaka baada ya tarehe 22 mkuu nishaona lazima Kuna mtu kaniambia mchakato kikawaida huwa unachukua miezi miwili aiseeeNoma aiseee tuchungulie chungulie wiki hii
Yumo ndani mule mule psrs?Hapo mpaka baada ya tarehe 22 mkuu nishaona lazima Kuna mtu kaniambia mchakato kikawaida huwa unachukua miezi miwili aiseee
nipetia PDF za kuitwa makazini huwa inachukuua siku 30 mpaka 45 ndio mkeka huwa unatokaaa.Hapo mpaka baada ya tarehe 22 mkuu nishaona lazima Kuna mtu kaniambia mchakato kikawaida huwa unachukua miezi miwili aiseee
Inaweza ukawa unasema kweli ila nenda pale placement Kuna mkeka ulitoka juni 3 wa watu walifanya interview march miezi mitatu kasoro mkuunipetia PDF za kuitwa makazini huwa inachukuua siku 30 mpaka 45 ndio mkeka huwa unatokaaa.
na vilevile kila cku 10 za mwanzo wa mwenzi wanakawaida ya kuaachia mkeka.
sasa hapo. ukimya wao mpakaa sasa, sijajuaaa labda wanasababu zao.
Hiii nayo ni point zanaaaanipetia PDF za kuitwa makazini huwa inachukuua siku 30 mpaka 45 ndio mkeka huwa unatokaaa.
na vilevile kila cku 10 za mwanzo wa mwenzi wanakawaida ya kuaachia mkeka.
sasa hapo. ukimya wao mpakaa sasa, sijajuaaa labda wanasababu zao.
Unaenda kufanya nn udsm mkuu na hakuna wanafunzi hapo unaenda kureport kwa Nan sasa tukupe mshahara wa mwezi mmoja Bure bila kaziSasa sensa inahusiana vipi nakuita watu makazini [emoji23][emoji23][emoji2][emoji2]