Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?


Hahaha! Humu tulihitimisha kuhusu suala la status kwamba mchawi wa mwisho ni kupigiwa simu au pdf, lakini bado watu wakaamua waendelee kuvutana.

Nadhani ile mivutano ya status lengo lake hasa lilikuwa kuchangamsha uzi, ila watu ndani ya mioyo inawezekana pengine walijua status haina uzito.
 

Hahahaha.
 
Hongera mkuu, vipi kwa app?? maana najua hzi status ulikua unazifuatilia sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…