makofia360
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 776
- 2,392
Yupo mmoja mimi nilipiga nae oralHivi Kuna mtu aliewahi kuandikiwa not shortlisted baada ya oral??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo mmoja mimi nilipiga nae oralHivi Kuna mtu aliewahi kuandikiwa not shortlisted baada ya oral??
Sijajua ila kuna jamaa huwa ananipa ntepesi nyepesi kuwa utumishi wa vibali vya tasisi kama hizo ingawaje ni chache chace mno kwahiyo huwa wana feed kutoka kanzi data kwa wenye sifa pacha ndiyo maana nikawambia watu ukiona umekosa usishangae ukaitwa ktk taasisi hata hukuitegemea ukala mrija mzitoKuna taasisi sijawahi ona zinatoa ajira mfano NHIF ,NSSF nk
Mmh hyo sizan kwakwli not shortlisted,,au alifeli usahili ...hyo mpyaHivi Kuna mtu aliewahi kuandikiwa not shortlisted baada ya oral??
Unasema ukweli au unachangamsha kijiwe tu,, [emoji23][emoji23][emoji23] yaan baada ya oral kufanya status isome NOT SHORTLISTED kweny web ,,mmh siamini ka ipo hii...@makofia360 embu fafanua zaidi broYupo mmoja mimi nilipiga nae oral
Anhaa ,so mchawi oral au sio ? , Mara unapigiwa simu unakula kitengo BOT au TCRA ,inakuwa mambo safi , kijana wa ovyo lazima nichakate mbususu na kuzihumiliate kwa hasira kama sina akili nzuri , maana hizi pisi zinatutreat jobless kama garbage huku kitaa ,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sijajua ila kuna jamaa huwa ananipa ntepesi nyepesi kuwa utumishi wa vibali vya tasisi kama hizo ingawaje ni chache chace mno kwahiyo huwa wana feed kutoka kanzi data kwa wenye sifa pacha ndiyo maana nikawambia watu ukiona umekosa usishangae ukaitwa ktk taasisi hata hukuitegemea ukala mrija mzito
Yeah mchawi oral mwamba amini kwamba na professional yako tu ikifeet vizuri kwe kachance kamoja ka BOT unaula tu au TCRAAnhaa ,so mchawi oral au sio ? , Mara unapigiwa simu unakula kitengo BOT au TCRA ,inakuwa mambo safi , kijana wa ovyo lazima nichakate mbususu na kuzihumiliate kwa hasira kama sina akili nzuri , maana hizi pisi zinatutreat jobless kama garbage huku kitaa ,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Basi fresh ,kila sahili tujitahidi tuingie oral ,ukiingia oral kama tatu hivi kuna moja atleast waweza baki kwenye data baseYeah mchawi oral mwamba amini kwamba na professional yako tu ikifeet vizuri kwe kachance kamoja ka BOT unaula tu au TCRA
Ben Mkapa Foundation uliwahi kuomba kazi pale? kabla hawajakupigia simu ukasaini mkatabaIla wakuu tusikate tamaa, mimi nilimaliza intern kinyonge na uku chuo nikipata GPA ambayo sio kali, nikapiga interview utumishi sikupata ila nikakaa kidgo nikapigiwa sim BMF(Benjamin Mkapa Foundation) nikasaini mkataba kabla sijamaliza nikapigiwa sim naitwa kazini nikachukue barua ya ajira nikajua ni matapeli kumbe jina lilikua kwa database. Kwahyo kama umekosa kwa sasa usikate tamaa utashangaa siku unaitwa bila ata pdf. Hadi leo washkaji niliomaliza nao hua wanashangaa nimepata vipi wakati wao bado wanakandwa kila siku na hawajatoboa bado.
Hahahaaa, kashapoma eee.Jamaa wa TAA kapewa ruhusa nipo nae kitaa kuhusu stutus Alikuwa Shortlisted mda mrefu ila kama siku tano zilizopita imebadilika na kuwa selected for oral hadi hivi sasa
Kijana wa hovyo, ukipata barua fanya mpango wa kumiliki utelezi wa kudumu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahhhh mzee lazima tuombeane aseeh siku nikienda kuchukua barua nitazama kwanza chako ni chako hahhhh
NHIF nishawahi kuona placement yake mwaka 2020(kama sikosei).Kuna taasisi sijawahi ona zinatoa ajira mfano NHIF ,NSSF nk
Hii bonge la comeback kwa selected for oral😀😃😃........Pia kulingana na shuhuda hapo juu inaonesh ikija selected for oral ujue pdf iko in transitKwa hiyo wazee wa selected for oral wamepindua meza sio 🤣🤣
Nimesha mueleza mzee pm aitoe hapaIfute hapo mtumie pm
😂😂😂😂😂HahhhhHii bonge la comeback kwa selected for oral😀😃😃........Pia kulingana na shuhuda hapo juu inaonesh ikija selected for oral ujue pdf iko in transit
Ukiwa jobless inbd upunguze makasiriko mda mwingine unaweza ukjitundik ukimaind sana😁Jobless msimaind kuongelea status wakati mwingine tunajichangamsha tu 😂😂😂
Walikua wanafanya replacement mkuu nikaitwa, sasa sijui walitoa jina kwa kanzidata pia.Ben Mkapa Foundation uliwahi kuomba kazi pale? kabla hawajakupigia simu ukasaini mkataba
😂😂😂😂Hahhhhh kaka uhakika nikibeba barua tu kesho yake tu naweka utelezi ndani niwe najipimia bila kuulizwaKijana wa hovyo, ukipata barua fanya mpango wa kumiliki utelezi wa kudumu[emoji3][emoji3][emoji3]
😂😂😂😂😂Hahhhh jobless wanahasira sana humu walinisema kwakiingereza "thi is too much" kama wamenisomesha wao hahhhhUkiwa jobless inbd upunguze makasiriko mda mwingine unaweza ukjitundik ukimaind sana😁
😂😂😂😂Kijana wa hovyo sana hahhhhh Kwamba uzihumiliate mbususu hahhhhAnhaa ,so mchawi oral au sio ? , Mara unapigiwa simu unakula kitengo BOT au TCRA ,inakuwa mambo safi , kijana wa ovyo lazima nichakate mbususu na kuzihumiliate kwa hasira kama sina akili nzuri , maana hizi pisi zinatutreat jobless kama garbage huku kitaa ,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wataelewa tu mwisho wa siku fact zako mana ukweli mchungu mm mwenyewe sasa nimetulia sin kimuhe muhe san cha placement najua mpka january hko😂😂😂😂😂Hahhhh jobless wanahasira sana humu walinisema kwakiingereza "thi is too much" kama wamenisomesha wao hahhhh