moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 7,976
- 16,769
na mimi ni kaka bana sio mamaKazi ushapata mama zama zenu hizi wanamama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na mimi ni kaka bana sio mamaKazi ushapata mama zama zenu hizi wanamama
sijui kwakwelHakuna shaka umeshatoboa tayar ww
😂😂😂😂Ulitetemeka mbele ya panel au??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sikuwa mwenyewe alafu niliboronga
yani acha tu,sitaki hata kukumbuka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ulitetemeka mbele ya panel au??
Mkuu kuna hua wanasema wakati wa Mungu ukifika milango hua inafunguka tuu no matter what, ndio maana pia nawaomba uku msikate tamaa ipo siku utashangaa ata wewe imekuaje😔😔Poa mkuu, unabahati sana
Sure tuwe na imaniMkuu kuna hua wanasema wakati wa Mungu ukifika milango hua inafunguka tuu no matter what, ndio maana pia nawaomba uku msikate tamaa ipo siku utashangaa ata wewe imekuaje😔😔
Sawa mkuuKaka unaweza ukachelewa wakaamua kuchomoa mtu kwa data base.....maana baadh ya taasisi wanataka wafanyakazi fasta na wanatakiwa wote wafike kwa pamoja ili wawape training kidogo japo siyo kwa taasisi zote lakini kwa TANZANIA AIRPORT AUTHORITY, nilazima wapewe mafunzo so ukichelewa unaweza ona mwana si wako
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kwaiyo Training Mara nyingi huanza baada ya muda gani toka siku ya kuripoti kazini na kukamilisha taratibu zote za ajiraKaka unaweza ukachelewa wakaamua kuchomoa mtu kwa data base.....maana baadh ya taasisi wanataka wafanyakazi fasta na wanatakiwa wote wafike kwa pamoja ili wawape training kidogo japo siyo kwa taasisi zote lakini kwa TANZANIA AIRPORT AUTHORITY, nilazima wapewe mafunzo so ukichelewa unaweza ona mwana si wako
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Sina uhakika lakin ni muda mchache tu.Kwaiyo Training Mara nyingi huanza baada ya muda gani toka siku ya kuripoti kazini na kukamilisha taratibu zote za ajira
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu maana wengine tunaona taasisi zao zinawachelewesha Sana kuanza kazi mfano TRC waliitwa kazini March mwaka huu wakaripoti Ila wakaambiwa warudi nyumbani watapigiwa simu wamekuja kuitwa mwezi August kuanza kazi, so wamekaa home miezi 5 sijui inatokana na Nini hii Hali
Maana kuna jamaa angu alipataga ajira hapo TAA post ya Assistant Aircraft Marshaller. Baada ya kuchukua barua zao PSRS enzi zile ofisi zipo Dar wakaenda kuripot wakaanza mafuzo na kulikuwa napepa pia maswali hadi ya physics... na waliambia atakae feli sana atapigwa chini ila intake yao wote walifanya vizuri ..na mida wa mafunzo unapewa hela sio bure
Mafunzo walitumia muda gani na walifanyia palepale DSM?Maana kuna jamaa angu alipataga ajira hapo TAA post ya Assistant Aircraft Marshaller. Baada ya kuchukua barua zao PSRS enzi zile ofisi zipo Dar wakaenda kuripot wakaanza mafuzo na kulikuwa napepa pia maswali hadi ya physics... na waliambia atakae feli sana atapigwa chini ila intake yao wote walifanya vizuri ..na mida wa mafunzo unapewa hela sio bure
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
TAA kunakuwaga na mafunzo hasa kwa wale operators hayo mafunzo kwa wengine huchukua mwaka mmoja lakini unakuwa unalipwa na Kuna mitihani pale lakini ukiferi unarudia Tena mpaka ufaulu lakini watawachimba beat kuwa ukiferi ndo bye bye ili mzingatie mafunzo hayo Kuna jamaa zangu wapo paleMaana kuna jamaa angu alipataga ajira hapo TAA post ya Assistant Aircraft Marshaller. Baada ya kuchukua barua zao PSRS enzi zile ofisi zipo Dar wakaenda kuripot wakaanza mafuzo na kulikuwa napepa pia maswali hadi ya physics... na waliambia atakae feli sana atapigwa chini ila intake yao wote walifanya vizuri ..na mida wa mafunzo unapewa hela sio bure
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Jkt nimepita mzee ndio maana sina wasiwasi moyoni sasa hivi nimekubali matokeo japo nimekandwa ad natetemekaChamuhimu subira tu mipango ya Mungu hii
Pole mkuu ndio maisha,tumeumbwa kupata na kukosaJkt nimepita mzee ndio maana sina wasiwasi moyoni sasa hivi nimekubali matokeo japo nimekandwa ad natetemeka
Mafunzo ya mwaka mmoja si balaa [emoji23] unamaliza probation ukiwa training huko balaa sanaTAA kunakuwaga na mafunzo hasa kwa wale operators hayo mafunzo kwa wengine huchukua mwaka mmoja lakini unakuwa unalipwa na Kuna mitihani pale lakini ukiferi unarudia Tena mpaka ufaulu lakini watawachimba beat kuwa ukiferi ndo bye bye ili mzingatie mafunzo hayo Kuna jamaa zangu wapo pale
Pole Sana mkuu usife moyo bado Kuna nafasi yako umeandikiwa usimkufuru tu mungu kwa hili la LeoJkt nimepita mzee ndio maana sina wasiwasi moyoni sasa hivi nimekubali matokeo japo nimekandwa ad natetemeka
Hii mifuko mingi inapumulia mashine, kwa sasa huwezi kuona nafasi za kazi. Wayback ilikua inaajiri kila mwaka.Kuna taasisi sijawahi ona zinatoa ajira mfano NHIF ,NSSF nk
Nimesoma Hr nimefanya interview Security nimekosa😀😀😀wakuu nauliza je, naweza kupata placement ya U-HR endapo nimo data base na nafasi zikipatikana au ntakuwa database kufit nafasi za ulinzi tu🤗🤗???Mafunzo ya mwaka mmoja si balaa [emoji23] unamaliza probation ukiwa training huko balaa sana
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app