Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Nimesoma Hr nimefanya interview Security nimekosaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€wakuu nauliza je, naweza kupata placement ya U-HR endapo nimo data base na nafasi zikipatikana au ntakuwa database kufit nafasi za ulinzi tuπŸ€—πŸ€—???
Hr unaingikia kila sehemu usiwe na hofu chamuhimu upo data base
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwa security officer nadhani ni mwezi mmoja labda lakini wale operators ,air controller inakuwa mwaka mzima yani
Ila hata security officer mafunzo ya mwezi mmoja hayatoshi maana aviation industry Ni kitu kigeni kwa karibia watu wote hivyo lazima kuanza na introduction mpaka mwisho watu wajue

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Ila hata security officer mafunzo ya mwezi mmoja hayatoshi maana aviation industry Ni kitu kigeni kwa karibia watu wote hivyo lazima kuanza na introduction mpaka mwisho watu wajue

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Yes lakini nyie kazi zenu sio za ajabu sana ngoja Kuna manzi mmoja yupo JNIA pale nikimpata nitamuulizia aniambie yeye alisoma hayo ya hr
 
Hayo ndio maneno,,,,,. Yaani watu wa JF mubarikiwe yaani mnajua kufariji sana hata ukikandwa ukija humu unapona mahasira na machungu yanapungua (kazi yenyewe nilikuwa siipendi Ulinzi)jokes)
Mzee kunywa maji mengi ww ni professional popote una fit tofauti na hawa security guard nk tulia pia kuna info nimekutumia pm
 
Hayo ndio maneno,,,,,. Yaani watu wa JF mubarikiwe yaani mnajua kufariji sana hata ukikandwa ukija humu unapona mahasira na machungu yanapungua (kazi yenyewe nilikuwa siipendi Ulinzi)jokes)
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Hahhhhh Kaka kwanza ulinzi ?ulinzi wa airport ni sawa na daktari mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…