Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Yes confidence inakuja ukishawazoea wale ,Yani kwamfano mimi naonaga kawaida tu sasa shida inakujaga wakiuliza kitu ambacho sikijui au sijakisoma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sure kabisa, Mungu atusaidie me naamini siku yetu inakuja soon
 
Pole sana mkuu

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Chuga Kuna madili kwani au utofauti wake Nini na viwanja vingine

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app

Airport ya Arusha iko busy sana, wageni weng sababu ya utalii.

NB: Hyo post yako ya Security Officer ni tofauti kabisa na Security guard. Hapo unakwenda ku enjoy aisee. Nina jamaa namfaham yy ni securty officer Tanesco tena mkoan huku, yuko vizuri sna.

Kwa upande wa TAA hapo lazima salary itakuwa vizuri pia overtime + allawances za kutosha.
 
Ivi ukiingia oral huwa wanajumlisha na pass marks ya written au practical au ukiingia oral wanaanza upya kukukanda je mfano Naweza ongoza practical maybe oral tumefika 7 nafasi 4 na nikiingia oral naweza kukandwa mfano poa nisaidieni jibu
Wanaanza upya kabsa na hata maksi zenu za written wanakuwa hawazitambui pale.

Kwa kifupi mkishaingia oral wote mnakuwa na chance sawa ya kupata kazi, ni wewe sasa kuanza kuzipunguza mpk zistoshe😅😅
 
Kikubwa umeshapata uhakika wa kazi ni kumshukuru Mungu...

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Embu dodosha maswali uliyokutanayo hayo ya point 5 5 bas watu wajifunze [emoji3][emoji3]
ORAL INTERVIEW - ASA : ECONOMIST II

1. Explain your life history and education backgrounds.
2. Features of privatization(5 points)
3. Conditions for the equilibrium of the economy (5 pints)
4. Features of Recession (5 pints)
5. Measures of Price elasticity of demand ( 3 points)

Dude hilo hapo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Maswali sio magumu sana ila kama hukupitia madesa plus na ile pressure ya mule ndani unaweza kupigwa NDOIGE[emoji28]
 
Balozii..ilikua ku mention au ku explain?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…