Yes confidence inakuja ukishawazoea wale ,Yani kwamfano mimi naonaga kawaida tu sasa shida inakujaga wakiuliza kitu ambacho sikijui au sijakisoma😂😂😂😂😂Ila nimegundua ukifanya fanya oral kujiamini kinakuja yanabaki Madesa sasa [emoji848][emoji848][emoji3][emoji3][emoji3]