Vip huko placement Yako Bado mkuu au mkeka umechanikaSi Idara hiyo pia tulipiga nayo usaili mwezi huo
Mimi bado idara yangu mzeeVip huko placement Yako Bado mkuu au mkeka umechanika
Tusubri tu mzeee mie jumatatu Nina interview Tena hapo duce ya IAE so fresh tu aiseee hata nikifeli good tu baada ya hapo nitakua na experience ya kutosha Sasa kusubir mkeke wa TRA huo watu wengi sana lazima niitwe kazini 🤣🤣🤣Mimi bado idara yangu mzee
Wachie placement kama zipo kama hamna pia watuambieTusubri tu mzeee mie jumatatu Nina interview Tena hapo duce ya IAE so fresh tu aiseee hata nikifeli good tu baada ya hapo nitakua na experience ya kutosha Sasa kusubir mkeke wa TRA huo watu wengi sana lazima niitwe kazini 🤣🤣🤣
Kweli waachie tu placementWachie placement kama zipo kama hamna pia watuambie
Kwani PSRS wametoa plcmnt .?Mda wa kulia Lia umefika kwa kweli placement zinatoka tu Sasa jina kama HALIPO machungu tu Bora nilivyokua naishi kwa matumain ILA ACHA WATOE TU PLACEMENT 🤣
Hiyo wameweka wenyewe MzumbeKwani PSRS wametoa plcmnt .?
Mzumbe wametoa ila interview ilikua Chin ya psrsKwani PSRS wametoa plcmnt .?
Hapo chuo kimepush ili kipate nguvu kazi.Mzumbe wametoa ila interview ilikua Chin ya psrs
ikawe heri aseehHapo chuo kimepush ili kipate nguvu kazi.
Taasisi zingine zimelala tu ili waendelee kupiga kazi maalum kutokana na ukosefu wa nguvu kazi.
Subira iendelee kwa wote waliofanya oral
Hahahahaa, Daah hata bado sijawahi kwenda oral mkuu.ikawe heri aseeh
😂😂😂😂asaivi lazima uende kiongozi tuombe uzima tu ,sema hawa watu wanatukanda sana aiseeh juzi niliulizwa swali kwenye oral ambalo sikutegemea afu huwa naliona nasema hili hawawezi kuulizaHahahahaa, Daah hata bado sijawahi kwenda oral mkuu.
Basi hii heri ikawe ili nifike oral
Naomba utupe miongozo ndugu kada ipi na uliulizwa maswali yepi kwa ujumla?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]asaivi lazima uende kiongozi tuombe uzima tu ,sema hawa watu wanatukanda sana aiseeh juzi niliulizwa swali kwenye oral ambalo sikutegemea afu huwa naliona nasema hili hawawezi kuuliza
Umefanya oral ngapi?Tusubri tu mzeee mie jumatatu Nina interview Tena hapo duce ya IAE so fresh tu aiseee hata nikifeli good tu baada ya hapo nitakua na experience ya kutosha Sasa kusubir mkeke wa TRA huo watu wengi sana lazima niitwe kazini 🤣🤣🤣
Kada ni ya afya lakini maswali waliyouliza ni yale basics ya kazi unayoenda kuifanya na theory behind ya hizo kaziNaomba utupe miongozo ndugu kada ipi na uliulizwa maswali yepi kwa ujumla?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app