BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,353
- 5,800
Umenizidi Mimi na hiyo diploma Yako? AuWewe ni An Idiot kwanza nimekuzidi mbali sana kifikra kubishana na ww ni kukupa credit.. hebu niachane na ww pumbavu zako hunioni tena naQuote pumba zako humu
Huwezi kuja na shutuma za kuwa mtihani haujasahihishwa ukiwa hujafanya huo mtihani au hukua sehem ya watahiniwa waliohudhuria.Nani kwakwambia nimefanya interview? Kalagabaho
Mbona simple tarehe ya mtihani kwani ilikuwa Siri?Huwezi kuja na shutuma za kuwa mtihani haujasahihishwa ukiwa hujafanya huo mtihani au hukua sehem ya watahiniwa waliohudhuria.
Toka tarehe ya mtihani mpaka leo ni interval ya siku ngapi? Na ni script ngap unadhani za kuwa marked?Mbona simple tarehe ya mtihani kwani ilikuwa Siri?
Sasa mkandwaji mwenyewe unacheka,, nikicheka na Mimi si nitaonekana Nakucheka mkuu😂😂😂Nimekandwa bwana TRA [emoji23]
Iwe diploma, bachelor au masterz, faham tu hizi post zote ni entry level. Kila mmoja kwa level yake anajipanga kupambania nafasi hizo, wala haipaswi kuingia katika paper na matokeo mfukoni.Umenizidi Mimi na hiyo diploma Yako? Au
Hawa jamaa hawajasahisha hii mitihani amini hivyo!.
Mkuu siku nyingine fanya maandalizi mazuri achana na hzi fikra mbovuHawa jamaa hawajasahisha hii mitihani amini hivyo!.
Aise siyo POA kbsaNi noma na nusu wana ndugu, binafsi nimedondokea pua maksi hazijatosha.
Hongereni kwa mliovuka hii hatua ngumu, kazeni kamba kwa hatua inayofata.
Usisahau kutupa maswali ya practical tujifunzeHongera sana mkuu, una haki ya kujipongeza kwa hatua muhimu kama hyo[emoji122][emoji122][emoji122]
Mkuu tusaidie hicho kitabu cha kanuniKanuni namba 16 (3) inasomeka hivi: Alama za ufaulu kwa kada zinazohusisha usaili wa vitendo au uwasilishaji wa mada zitapatikana kwa kuchukua alama za vitendo au uwasilishaji wa mada jumlisha alama za mahojiano
Hii kanuni haijafafanua zaidi kama itakuwa hivi Prac/uwasilishaji + Oral = Jumla au (Prac/uwasilishaji + Oral) ÷ 2 = Jumla.
Kwa hiyo wao ndio wanajua zaidi hapo
Hongera sana mkuu, sasa nenda kapambane kwa udi na uvumba ile ugike hatua ya mwisho(oral).Hata mimi nimetoboa wazee najiandaa na prac japo ngoma ilipigia kwenye msitari
Hongera sana mkuu, hivyo ndivyo unaongeza wigo wa kuusogelea mrija wa AsaliHakika nilikua nawaza sana wadau wanaotoa ushuhuda kua wamewezaje ingia oral zaid ya moja,kama wizy hakika na mimi nashkuru safu yangu ya ushambulizi huku Mbappe na Neymar yaani NAOT na TRA hakika kila kitu kinawezekana ni kuendelea kufanya jitihada tu
Mimi nilifanya TMO II mkuu, ila endelea kubaki humu kuna watu wana madini balaa.Usisahau kutupa maswali ya practical tujifunze
Unaweza kushangaa ukaja ukaingia huko TRA kama afisa wa Taaluma yako, mambo huwa hayatabiriki, yanatusapraizi sanaSijui ni nini kilinipeleka wakati ata hesabu za kujumlisha zinanishinda[emoji23]
Kumbe tunaweza kushare moka[emoji3][emoji3], inayofuata ndio namba yanguHapana mkuu, nina no ya viatu ninayovaa, no 41[emoji23][emoji23][emoji23]