Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mtete ndio nini tena mwifwa😂😂
 
Mtete ndio nini tena mwifwa[emoji23][emoji23]
Kuteta ni kuongea kwa sauti ya chini ili hata walio karibu wasisikie. Kwa mfano kama ushawai angalia hotuba za viongozi utaona mlinzi wake anaenda kumwambia kitu karibu na sikio [emoji2][emoji2][emoji2]kama nitakuwa nimekosea nirekebishwe
 
Kuteta ni kuongea kwa sauti ya chini ili hata walio karibu wasisikie. Kwa mfano kama ushawai angalia hotuba za viongozi utaona mlinzi wake anaenda kumwambia kitu karibu na sikio [emoji2][emoji2][emoji2]kama nitakuwa nimekosea nirekebishwe
Ahaa nilijua ni msamiati mpya wa jf😂
 
Sema ameongea ukweli, ni kweli anaupiga mwingi, ni bora kwa kidogo alichofanya ila sio kuacha kuajiri kabisa.
Nilimpongeza Mh. Samia tangu mwezi wa 6 mwaka jana kipindi ambacho hata kwenye interview sikujua kama nitaitwa. Mimi Huwa nafurahi tu nikiona watu wanaajiriwa Kwa wingi coz najua ahueni ya maisha inaweza kuja.

Huko nyuma sikuwahi kuona hata tangazo tu la fani yangu mpaka nikahisi nimesoma bachelor ambayo ni useless.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…