Ahmed Saidi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 1,588
- 3,487
Uzi gani tena😂😂Halafu Ahmet kumbe we ni mwalimu professional, kuna uzi nlikuona wanafunzi itakuwa wanakuletea maruerue[emoji3]
Ukipata kz lazma useme anaupiga mwingi hahah ukikandwa hiyo kauli inakua na ukakasi kdgo 🤣
Mtete ndio nini tena mwifwa😂😂Kuna siku nilikuona kule, ukawa unahadithia hatua mbili tatu kuhusu biashara, baadaye nikaona watu wakaanza kukuomba mtete PM.
Mimi nilipita tu kimya kimya bila kutia neno wala like, maana ukilike, quote, reply tayari mtu anajua ushasoma post yake[emoji3][emoji3]
Huko mbaliii[emoji23][emoji23][emoji23]Uzi gani tena[emoji23][emoji23]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]kabisa... uwezi ukasifu mvua kama emeezua paa la nyumba yako au imeleta mafuliko kwako.Ukipata kz lazma useme anaupiga mwingi hahah ukikandwa hiyo kauli inakua na ukakasi kdgo [emoji1787]
Sema ameongea ukweli, ni kweli anaupiga mwingi, ni bora kwa kidogo alichofanya ila sio kuacha kuajiri kabisa.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]kabisa... uwezi ukasifu mvua kama emeezua paa la nyumba yako au imeleta mafuliko kwako.
Kuteta ni kuongea kwa sauti ya chini ili hata walio karibu wasisikie. Kwa mfano kama ushawai angalia hotuba za viongozi utaona mlinzi wake anaenda kumwambia kitu karibu na sikio [emoji2][emoji2][emoji2]kama nitakuwa nimekosea nirekebishweMtete ndio nini tena mwifwa[emoji23][emoji23]
Eee mimi ni mwalimu kabisaaHuko mbaliii[emoji23][emoji23][emoji23]
Ahaa nilijua ni msamiati mpya wa jf😂Kuteta ni kuongea kwa sauti ya chini ili hata walio karibu wasisikie. Kwa mfano kama ushawai angalia hotuba za viongozi utaona mlinzi wake anaenda kumwambia kitu karibu na sikio [emoji2][emoji2][emoji2]kama nitakuwa nimekosea nirekebishwe
Hongera sana mkuuNamshukuru Mungu kwa mara ya kwanza leo nimekaa mbele ya panel la utumishi Mungu mkubwa.
Nilimpongeza Mh. Samia tangu mwezi wa 6 mwaka jana kipindi ambacho hata kwenye interview sikujua kama nitaitwa. Mimi Huwa nafurahi tu nikiona watu wanaajiriwa Kwa wingi coz najua ahueni ya maisha inaweza kuja.Sema ameongea ukweli, ni kweli anaupiga mwingi, ni bora kwa kidogo alichofanya ila sio kuacha kuajiri kabisa.
Asante dadaHongera sana kaka, Mungu akusimamie on your new journey. God is gooooddddd[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Uliza tu mkuu ila status hazina maana ukizifuata utachanganyikiwaHongera sana mkuu, natamani kukuuliza status ilikuaje ila basi....[emoji23]
Nmefurahi sana, all the best. Mungu akusimamieAsante dada
Asante kesho ntatoa mrejesho humuNmefurahi sana, all the best. Mungu akusimamie
Hongera sana mkuuhatimaeeeeeeeeee nimewakanda utumishiiiiiiiii yeeeeeeeeeees
Hahahaaa.Ma jobless mliofanya oral ya MUHIMBILI (MNH) PDF ishatoka huko nenda kaangalie jina lako
Kweli aisee, japo watu wengi wakishapata mrija huwa wanatoweka.Natamani na nawaombea sote tupate kile tunachokipenda, tumekuwa pamoja sana katika shida na Raha, Natamani hata siku Moja tungeonana.