Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Upo kama mimi, sasa kama ya Muhas hainihusu na wala simjui mtu ila nasoma majina yote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa nimegundua kitu kuhusu hii status kwenye web lakini, ukiona inaanza selected for oral inteviw no. Then inakuja shortlisted plane, kisha ikarudi selected for oral umeula hapo as if alivyoelezea mkuu na ni mtu wa tatu huyu namsikia kwa style hiyo.
Nadhani mashahidi mpo humu jazieni nyama wenye kazi zenu. Sijajua usaili unaojumuisha practicals....
 
Hakika wote humu tutalamba asali ni swala la mda.

🤣🤣🤣 status hazina umuhimu, lakini kama huna ""selected for null"" mungu asimame nawe.
 
ivi baada ya kufanya oral status huwa inachukua muda gani kubadilika kutoka selected for oral kuwa shortlisted kwa zile saili zenye practical ?
 
Nadhani shida inakuja pale baadhi ya taasisi wanapofanya mchakato wa ajira wenyewe.
Kanuni zinamtaka Mwajiri kuwasilisha taarifa za aliyeripoti kazini ndani ya siku 30 tangu alipopangiwa kituo cha kazi. Naona uzembe ni PSRS kutofuatilia hili hatimaye wanajikuta wanaendelea kuita watu kazini hata kama washaitwa miezi kadhaa iliyopita
 
Upo kama mimi, sasa kama ya Muhas hainihusu na wala simjui mtu ila nasoma majina yote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wengine ni wateja wako huko kariakoo, kariri tu majina watajileta wenyewe
 
Hilo suala alilitekeleza vipi, tulitoa ushauri hapa, hujatupa mrejesho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…