Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni mzembe,hiyo nafasi ishapewa mtu mwingine. Halafu nijuavyo kwa watu wa database kabla ya yote utumishi huwa wanakupigia simu kukujulisha kuwa umepangiwa nafasi kutoka database na pia hilo la barua kutumwa sina uhakika nalo coz barua huwa unafuata mwenyewe Dodoma.
Jukumu ni lako ss kusaliti Chama la Jobless Gang Team Malalamiko Dhid ya PSRS.PDF za Mikando zimetaradadi... Wale tutakaokuwa Kwame Nkrumah Hall tukutane hapa
Hiyo haijulikani kwa sababu inategemea na kupatikana nafasiplacement ya database huwa inatoka baada ya muda gani?
Hongera sana mkuu, ukawe mtumishii mwema.Hongera na mwenyewe juma3 inshaAllah naingia mjengoni
Hahahahaaa.Prok ni mtu mmoja ningependa kuona nae, inaonyesha una moyo sana, mtulivu na mwenye subira.
Natamani hadi kutangaza Nia[emoji56]
Au nitangaze
Hahahaaa, ameiweka kitaalamu sana ile kauli yakeProk ndo nani?
Uliijua lini JF kwa mara ya kwanza?Mungu ambariki, binafsi nmejifunza mambo mengi san, hili jukwaa ni fursa aisee na kibiashara changu kinaenda humu humu. Namuombea sana aisee
Mkuu mimi mbona nipo, sijakimbia ila wewe ndio hauonekani sana humuSorry,huyo Prok alipotelea wapi?hata Mwifwa alipotoboa sikumsoma japo initially alikuwa very interactive
Kila la kheri wakuu Mungu awatangulie na kuwaonesheni njiaPDF za Mikando zimetaradadi... Wale tutakaokuwa Kwame Nkrumah Hall tukutane hapa
Hajui kama JF ni sebuleni kwangu[emoji3][emoji3][emoji3]Ata sijui maskin[emoji3064], ila Mwifwa yupo hapa always hajawahi potea, labda Wizy
Hizi laboratory scientist zitabase kwenye research pia?PDF za Mikando zimetaradadi... Wale tutakaokuwa Kwame Nkrumah Hall tukutane hapa
Kazi kwao sasa kwebda kupindua meza ya Wakandaji. Tuwatakie kheri.Haya, wale mkiosubiria Wizara ya kilimo tayari majina hadharani mkapambane Usaili huko, Wale wa TPDC mambo hadharani pia
Kwann hizi nazo hawajaziweka kikanda kama MDAs @ LGA..Haya, wale mkiosubiria Wizara ya kilimo tayari majina hadharani mkapambane Usaili huko, Wale wa TPDC mambo hadharani pia
Mungu akutangulie🙏🏿Kwa Mara nyingine Naenda Kuongeza SELECTED FOR Aral kama kawaida