mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,514
- 4,042
Hili wazoHapa PSRS km ingewapendea wangejitahid sn kwny kumbukumbu zao mtu akipata Placement Acc yake Ibadilike na kusiwe na Option tena ya Kuapply kaz yoyote mpk Kwa muda Flan ndy aweze kuapply ili kupunguza nafas anazoacha Wazi baada ya kupata Multiple Placements
Maana unakuta mtu yupo Kanzidata mpk muda wakukaa huko unaisha na nafasi ya kazi haijapatikana Kwa 7b ya hawa wenye placements Zaid ya 2
Kuna walioajiriwa moja kwa moja tokea ofisini kwa wakili mkuu. Hawakupitia sekretarieti- Utumishi wababaishaji, wanatangaza nafasi za kazi 100 halafu wanakuja kuajiri watu chini y 20, kama hawakuwa na bajeti ya kuajiri si wangesema ukweli tu, kuwa nafasi za kazi ni chache like 20, kuliko kudanganya vijana, Kwa maana tumeona WAKILI Mkuu wameajiri 30s wakati tangazo lilisema ni 100, huu ni ubabaishaji
- unasema kweli? Sasa kama Kuna walioajiriwa nje ya utaratibu wa psrs basi huo nao ni ubabaishaji.Kuna walioajiriwa moja kwa moja tokea ofisini kwa wakili mkuu. Hawakupitia sekretarieti
Tatizo sio jamaa, tatizo ni PSRS.Yn mtu anapat kazi taasisi A haridhiki anaenda kufny usaili tena anapata B hardhiki anaenda tena anapata C wengne wansbria tu mpk jamaa aridhike kweli dunia haiko fair kbsa
Kila la kheri mkuuWritten interview ya 8 sikuwahi chaguliwa oral , leo imo daah tusikate tamaa ,hata oral nikikandwa najua ipo siku
Kama ulikua hujui, note hilo. Hata TRA kuna wakati wanachukuaga intern wao pale wanapopewa kibali cha ajira. Nafasi zitatangazwa zote ila baadhi ya watu hawatapangiwa kazi na psrs, bali TRA.- unasema kweli? Sasa kama Kuna walioajiriwa nje ya utaratibu wa psrs basi huo nao ni ubabaishaji.
Hii mbona mpya, ila lolote lawezekana, sababu kuna dogo Mzee wake yupo tanesco na yupo kazini na hakuwahi hata kusikia usaili.Kama ulikua hujui, note hilo. Hata TRA kuna wakati wanachukuaga intern wao pale wanapopewa kibali cha ajira. Nafasi zitatangazwa zote ila baadhi ya watu hawatapangiwa kazi na psrs, bali TRA.
Written interview ya 8 sikuwahi chaguliwa oral , leo imo daah tusikate tamaa ,hata oral nikikandwa najua ipo siku
Kila la Kheri huu ndy muda wakoWritten interview ya 8 sikuwahi chaguliwa oral , leo imo daah tusikate tamaa ,hata oral nikikandwa najua ipo siku
Sure lkn uwenda kadri malalamiko yanapokuwa Meng wanaweza kuja na MbadalaTatizo sio jamaa, tatizo ni PSRS.
Sisi huwa tunafanya sahili mbalimbali kwa sababu huwa hatuna uhakika na usahili mmoja.
Sasa PSRS hawana mtindo wa kumtoa kwenye chance ya kupata nafasi mtu aliyepata nafasi awali.
Pangekuwa na utaratibu wa kuwa, endapo ukipata nafasi kwenye usahili wako wa mwanzo, uweze kutochagulia hata kama umefaulu saili zingine zilizobakia. Hili kama lingekuwepo tusingeona watu majina yao kujirudia kwenye placements mbalimbali
Ni kweli mkuu ishu sio mtu anaefanya usahili ishu ni PSRS maana sio rahisi mtu akishapata mrija wa Asali aanze kuhangaika na Interview hiyo inatokea mtu ana selected for Oral hata nne kwahiyo ishu ni uchelewashwaji wa PLACEMENT mtu hana uhakika kwahiyo lazma afanye interview.Tatizo sio jamaa, tatizo ni PSRS.
Sisi huwa tunafanya sahili mbalimbali kwa sababu huwa hatuna uhakika na usahili mmoja.
Sasa PSRS hawana mtindo wa kumtoa kwenye chance ya kupata nafasi mtu aliyepata nafasi awali.
Pangekuwa na utaratibu wa kuwa, endapo ukipata nafasi kwenye usahili wako wa mwanzo, uweze kutochagulia hata kama umefaulu saili zingine zilizobakia. Hili kama lingekuwepo tusingeona watu majina yao kujirudia kwenye placements mbalimbali
Yaani huyo alisharipoti kbsaTatizo sio jamaa, tatizo ni PSRS.
Sisi huwa tunafanya sahili mbalimbali kwa sababu huwa hatuna uhakika na usahili mmoja.
Sasa PSRS hawana mtindo wa kumtoa kwenye chance ya kupata nafasi mtu aliyepata nafasi awali.
Pangekuwa na utaratibu wa kuwa, endapo ukipata nafasi kwenye usahili wako wa mwanzo, uweze kutochagulia hata kama umefaulu saili zingine zilizobakia. Hili kama lingekuwepo tusingeona watu majina yao kujirudia kwenye placements mbalimbali
Wapo waliopata na bado wanahangaika hawajaridhka na taasisi walizopataNi kweli mkuu ishu sio mtu anaefanya usahili ishu ni PSRS maana sio rahisi mtu akishapata mrija wa Asali aanze kuhangaika na Interview hiyo inatokea mtu ana selected for Oral hata nne kwahiyo ishu ni uchelewashwaji wa PLACEMENT mtu hana uhakika kwahiyo lazma afanye interview.
Duuhwangekua wanapiga pin waliopata hata kwa miezi 6 kwnza ili na wengine wapate nafasi ss mtu anaznguka taasisi tatu ni yeye tuu na huko anakotoka sjui kama inafnyika rplacement ya haraka
Kama ulikua hujui, note hilo. Hata TRA kuna wakati wanachukuaga intern wao pale wanapopewa kibali cha ajira. Nafasi zitatangazwa zote ila baadhi ya watu hawatapangiwa kazi na psrs, bali TRA.
- hili siamini kama kweli, Kwa hiyo unataka kuniambia wanaajiri ma INTERN wao?Kuna walioajiriwa moja kwa moja tokea ofisini kwa wakili mkuu. Hawakupitia sekretarieti