Balozi limited
JF-Expert Member
- Jun 6, 2022
- 989
- 2,565
Kwa kweli kaka watupe tips hapa hivi inakuaje wadau mnakuwaga mko vzr sana kwenye panel au siri ni nn ilijificha hapo????Ohy wakuu mnaopataga kazi huko PSRS, hv mnajibugi Yale maswali yote ya points 5, 5 au ndo kismart tu..
Hebemu tuambieni kwanza nasi tujue..
tutaletaMirejesho huwa inamotivate sana, mliobahatika kupata nafasi leteni mirejesho hapa
Asante sanaJibu yote,jibu kama ilivyo ulizwa
Hongera sana mkuu, kawe mtumishi mwema
Sasa kujibu yote si kujua huko,, kama hujuiJibu yote,jibu kama ilivyo ulizwa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Ngoja waje kaka watoe mirejeshoSasa kujibu yote si kujua huko,, kama hujui
Ila broo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Shukran sana mkuu,pamoja sana
Aaaah humu watu wakipata basi wanapenda kujipakulia nyama utasikia niliwapelekea moto panel balaa, kumbe kapita kwa Sympathy ya Panel washaona kijna Umri unamtupa mkono na Maisha Hana,, hebu basi tumbless na hii job... Yanafanyika haya kabisa😁[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Ngoja waje kaka watoe mirejesho
Kweli mtu unajiona mtabe kweli kumbe hamna siku yako ilifika tu ya kufanikiwaAaaah humu watu wakipata basi wanapenda kujipakulia nyama utasikia niliwapelekea moto panel balaa, kumbe kapita kwa Sympathy ya Panel washaona kijna Umri unamtupa mkono na Maisha Hana,, hebu basi tumbless na hii job... Yanafanyika haya kabisa😁
Au nasema uongo ndugu zangu..?
Hongera na Pole pia,,,ni njia moja wapo ya kukusubirisha upate kazi nyingine lets keep pushing🦾🦾🦾🦾🦾Habari ya jioni Wana jf,
Hongereni Kwa wote mliolamba asali, BINAFSI sijabahatika.
Nilikuwa nasubiria placement HESLB nafasi ya Loan Officer.
Kwa mnaosubiri placement Pdf ndio kila ktu, stutus si za uhakika/ kutegemea.
Stutus kwenye website ni SELLECTED FOR Oral ya kijani na kwenye app ni SELLECTED FOR null.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ila broo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Soon utasahau kama ulisema umepata na kuanza kuulizia tena saili
Hongera sana mkuuSikuwa online asee..ila Mungu ni mwema sana
Yeah sure, hapo baada ya oral kinachobakia ni NEEMA TU YA MWENYEZI MUNGU KWA WAJA WAKE. Wacha tuendelee kuona kila mrejesho wa walamba asali nasi tuko njianiAaaah humu watu wakipata basi wanapenda kujipakulia nyama utasikia niliwapelekea moto panel balaa, kumbe kapita kwa Sympathy ya Panel washaona kijna Umri unamtupa mkono na Maisha Hana,, hebu basi tumbless na hii job... Yanafanyika haya kabisa[emoji16]
Au nasema uongo ndugu zangu..?
Shida wakishalamba asali wanatusahau ambao badoIngependeza kama tungepata mirejesho kutoka kwa wenzetu waliotangulia kulamba asali cku hzi za karibuni juu ya sahili zao za oral zilivokuwa jinsi walivojibu maswali na matarajio yao yalikuw vip baada ya kutoka kweny chumba cha wakandaji
wewe mzee tupo kwenye tasisi moja nimebadili ID tu Barua unafuata au unasubiri itumwe kwenye anwanAsee nashukuru sana mkuu, hapa ndio kuna jamaa angu kanipigia kunipa hizi taarifa, binafsi sikuwa hata na habari kabisa.
Ashukuriwe Mungu
Mkuu kama una saili we jiandae vizuri tu mambo ya kupata ni Mungu tu anasaidia Kuna watu wanatoka kwenye vyumba vya Usaili wakiwa wamevurugwa hawaelewi kilichotokea ndani.. Ila pdf likitoka yumo.Ingependeza kama tungepata mirejesho kutoka kwa wenzetu waliotangulia kulamba asali cku hzi za karibuni juu ya sahili zao za oral zilivokuwa jinsi walivojibu maswali na matarajio yao yalikuw vip baada ya kutoka kweny chumba cha wakandaji
Hii nayo nzuri kwa present and next generation piaIngependeza kama tungepata mirejesho kutoka kwa wenzetu waliotangulia kulamba asali cku hzi za karibuni juu ya sahili zao za oral zilivokuwa jinsi walivojibu maswali na matarajio yao yalikuw vip baada ya kutoka kweny chumba cha wakandaji
Au sio kaka[emoji3][emoji3][emoji3]Mkuu kama una saili we jiandae vizuri tu mambo ya kupata ni Mungu tu anasaidia Kuna watu wanatoka kwenye vyumba vya Usaili wakiwa wamevurugwa hawaelewi kilichotokea ndani.. Ila pdf likitoka yumo.
Piga zako amsahlili kwa kuattempt unachokiweza au kujua then kula Kona usiwaze hata nn, KIKUBWA UHAI TU ..