Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Na kwenye upande wa kuita watu kazini.. unahisi nini kinacheleweshaaa.??
kwenye placements Huwa wanacombine majina ya Taasisi nyingi ili kupunguza jam ya MIKEKA Kila siku.. hvyo wanaweza kumaliza taasisi Fulani Ila wakawa wanazisubiria taasisi zingine.. So ni kawaida kuona we Interview yako umefanya May Ila mkeka umecombine na watu waliofanya Usaili July.
 
Ni muda sana 2018 huko
Tuweni serious, 2018 na sasa 2022. Kama unaapply kwa mara ya kwanza kwa sasa hakikisha kila kitu kiko sawa. Mfano mimi niliapply ustate attorney na Parliamenrary draftman kwa wakati mmoja, hiyo ni mwaka huu, lakin cha kushangaza nlikuta nmekuwa shortlisted parliamentary draftman lkn state attorney sikuwa shortlisted sababu ikiwa sijaattach birth certificate, na kwel nlikuwa sijaatach, same applies pia BRELA na SELF microfinance, brela nliitwa registration officer, licencing officer nkatemwa kisa ikiwa sijaattach birth certificate, self nkaitwa, ila nlishindwa fanya interview pia kisa siku na birth certificate original na nlikuwa nshaanza kushughulikia ila RITA.
Nmefanya interview yangu ya kwanza ya land officer na ndo nlifika oral ila mpaka sasa placement bado. Ila ni baada ya kuweka kila kitu sawa. Na issue ni kwamba mpaka oral kila kitu kinakaguliwa, kuanzia cheti cha kuzaliwa, kitambulisho na vitu vyote walivyosema tena wanataka original, ukipita written labda huna kimojawapo utakuja kamatwa oral, maana secretary atawacheck na bado kila kitu kitacheckiwa na hao wanaokuinterview.
Kila kitu kinawezekana, rekebisha mapema kabla hujafika huko.
Ntaandika uzi wa kila kitu kinachotakiwa itawasaidia wengine.
Ahsanteni
 
Tuweni serious, 2018 na sasa 2022. Kama unaapply kwa mara ya kwanza kwa sasa hakikisha kila kitu kiko sawa. Mfano mimi niliapply ustate attorney na Parliamenrary draftman kwa wakati mmoja, hiyo ni mwaka huu, lakin cha kushangaza nlikuta nmekuwa shortlisted parliamentary draftman lkn state attorney sikuwa shortlisted sababu ikiwa sijaattach birth certificate, na kwel nlikuwa sijaatach, same applies pia BRELA na SELF microfinance, brela nliitwa registration officer, licencing officer nkatemwa kisa ikiwa sijaattach birth certificate, self nkaitwa, ila nlishindwa fanya interview pia kisa siku na birth certificate original na nlikuwa nshaanza kushughulikia ila RITA.
Nmefanya interview yangu ya kwanza ya land officer na ndo nlifika oral ila mpaka sasa placement bado. Ila ni baada ya kuweka kila kitu sawa. Na issue ni kwamba mpaka oral kila kitu kinakaguliwa, kuanzia cheti cha kuzaliwa, kitambulisho na vitu vyote walivyosema tena wanataka original, ukipita written labda huna kimojawapo utakuja kamatwa oral, maana secretary atawacheck na bado kila kitu kitacheckiwa na hao wanaokuinterview.
Kila kitu kinawezekana, rekebisha mapema kabla hujafika huko.
Ntaandika uzi wa kila kitu kinachotakiwa itawasaidia wengine.
Ahsanteni
Sasa Kwa mtu ambaye kosa lake ni kwamba haja thibitisha Kwa mwanasheria, vyeti original si anavyo?Wataona tuu huko huko...
 
Ni bora kufanya wanavyotaka kuliko kujiwekea sheria zako.
Yaan it is a simple instruction ila inawacost wengi
Watu wengi hizo sheria awazijui ,ndo mana wanakuwa wanakosea....tunajifubza kutokana na makosa.
 
Asante mkuu🙏
Ni lazima ndani ya mwezi mmoja Ofisi ya Government Security Officer (GSO) au kwa kiswahili, Mkuu wa Usalama serikalini, kwa kushirikiana na mwajiri wako ikuchunguze ndipo iseme huyu mtumishi anafaa kuitwa kazini. Endapo kama Ofisi ya GSO itakuwa na mashaka basi itabidi mpaka wajiridhishe ndipo utaitwa kazini. Kwahiyo kupita usaili ni jambo moja na kuitwa kazini ni jambo jingine.
 
Tuweni serious, 2018 na sasa 2022. Kama unaapply kwa mara ya kwanza kwa sasa hakikisha kila kitu kiko sawa. Mfano mimi niliapply ustate attorney na Parliamenrary draftman kwa wakati mmoja, hiyo ni mwaka huu, lakin cha kushangaza nlikuta nmekuwa shortlisted parliamentary draftman lkn state attorney sikuwa shortlisted sababu ikiwa sijaattach birth certificate, na kwel nlikuwa sijaatach, same applies pia BRELA na SELF microfinance, brela nliitwa registration officer, licencing officer nkatemwa kisa ikiwa sijaattach birth certificate, self nkaitwa, ila nlishindwa fanya interview pia kisa siku na birth certificate original na nlikuwa nshaanza kushughulikia ila RITA.
Nmefanya interview yangu ya kwanza ya land officer na ndo nlifika oral ila mpaka sasa placement bado. Ila ni baada ya kuweka kila kitu sawa. Na issue ni kwamba mpaka oral kila kitu kinakaguliwa, kuanzia cheti cha kuzaliwa, kitambulisho na vitu vyote walivyosema tena wanataka original, ukipita written labda huna kimojawapo utakuja kamatwa oral, maana secretary atawacheck na bado kila kitu kitacheckiwa na hao wanaokuinterview.
Kila kitu kinawezekana, rekebisha mapema kabla hujafika huko.
Ntaandika uzi wa kila kitu kinachotakiwa itawasaidia wengine.
Ahsanteni
Itasaidia sana wengi, ninausubiri huo uzi mkuu
 
Sasa Kwa mtu ambaye kosa lake ni kwamba haja thibitisha Kwa mwanasheria, vyeti original si anavyo?Wataona tuu huko huko...
Kwemye portal huwa wanataka uweke copy vyeti vilivyothibitishwa na Wakili/Hakimu. Utatoboaje hapa kama hujacertify ili ukawaoneshe hivyo original huko mbele?
 
Back
Top Bottom