Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Placement ijayo itajumuisha
DART,
Mzumbe (MU)
Elimu ufundi stadi (VETA)
Taasisi ya Elimu Tanzania (TIE)
Muhimbili (MNH)
Ngorongoro (NCAA)
Halmashauri Musoma
Ofisi ya Bunge
Mamlaka ya bandari (TPA)
Chuo kikuu Dar es salaam (UDSM)
Msajili Hazina (TRO)
Chuo cha biashara (CBE)
Huduma ya ununuzi serikalini (GPSA)
Wizara ya Afya

Loading for PDF.........
Unasubiri idara ipi? Tuchangamshe uzi
Mimi nasubiri shortlist NAOT, MNH, ORCI
 
Ninachoona kwa sasa ni kufuatilia vyuo husika maana utumishi wanachelewaga kuweka matangazo.. HIV vyote wanafanya saili wenyewe
Duh! Hii imekaaje, inamaana inawezekana taarifa isionekane kwenye website ya utumishi ila ikaonekana kwenye ya chuo husika!?

Bona hawa jamaa wanafanya mambo yawe magumu sana.
 
Wadau eeeeh, kwenye web ya utumishi kama kutakuwa na new label yoyote mtujulishe humu.. Yaan kama tangazo la kazi, interview au placement maana watu tunashinda humu JF via Freebasics, bando limepanda sana wakuu hvyo hatuwezi kuaccess psrs web kila mda na kila Siku
 
Wadau eeeeh, kwenye web ya utumishi kama kutakuwa na new label yoyote mtujulishe humu.. Yaan kama tangazo la kazi, interview au placement maana watu tunashinda humu JF via Freebasics, bando limepanda sana wakuu hvyo hatuwezi kuaccess psrs web kila mda na kila Siku
Usijali mkuu, mimi kila siku lazima nichungulie PSRS. Nitaleta mrejesho wa news yeyote
 
Back
Top Bottom