Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Mlipiga written watu wengi sana? maana mliitwa 2455Mbona matokeo ya Bunge makatibu wasaidizi wanachelewesha hivi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlipiga written watu wengi sana? maana mliitwa 2455Mbona matokeo ya Bunge makatibu wasaidizi wanachelewesha hivi.
Acha tu. Tunataka kujua status zetu turud kuendelea ni mishe za mtaaniMlipiga written watu wengi sana? maana mliitwa 2455
Tuendelee kuvuta subira mkuuAcha tu. Tunataka kujua status zetu turud kuendelea ni mishe za mtaani
Daah hata hivyo hizi nauli za kwenda na kurudi changamoto ila fresh tuMkuu sikukatishi tamaa, Ila ukiona jina halipo kwa pdf basi ujue uko Not shortlisted
Tunakuza uchumi wa wenye mabasiDaah hata hivyo hizi nauli za kwenda na kurudi changamoto ila fresh tu
Iyo mikeka wameiweka wapiWale wasubiria Shortlisted, Tayari PSRS wamelimwaga uno na Wala hawataki utani,,, ni mwendo wa MIKEKA tu Hadi mkimbie wenyewe mseme hamna Nauli..
Wale wa DUCE,,, kitu tayari
Wale wa JKCI.. Taasisi ya moyo hii, kitu tayari
Tusisumbuane bhna.. ujue kuingia JF halafu ushindwe Web ya PSRS.. halafu watu wengine sometimes muwe serious na MaishaIyo mikeka wameiweka wapi
Na NAOT kijana badoKwa hizi pdf ninazoziona hapa kwenye tovuti ya PSRS.. basi nachelea Kusema mpaka kuishi saili za hizi Shortlisted watakuwa wametafuna ½ na ⅓ ya kazizote zilizotangazwa Hadi Sasa,
Urgently naona zimebaki taasisi zifuatazo.
USDM,, Lectures & Tutorials and
Technicians
SUA,, Technicians
MDA's & LGA's,, Mkeka wa Taifa
TRA,, Mkeka wa Taifa
WIZARA YA KILIMO,, Mkeka wa Taifa
UDOM,, Lectures & Tutorials.
LITA,TARILI,, Technicians.
Kama nimeacha basi ni Taasisi chache
Mkeka huu nahisi utaambatana na wizara ya mambo ya njeNa NAOT kijana bado
I can feel you boss, cheki hii link itakupeleka hapo then utakuwa unairefresh tu Ili kuona updatesIyo mikeka wameiweka wapi
www.ajira.go.tz
Bado pia wa TANZANIA ATOMIC ENERGY COMMISSION (TAEC)Kwa hizi pdf ninazoziona hapa kwenye tovuti ya PSRS.. basi nachelea Kusema mpaka kuishi saili za hizi Shortlisted watakuwa wametafuna ½ na ⅓ ya kazizote zilizotangazwa Hadi Sasa,
Urgently naona zimebaki taasisi zifuatazo.
USDM,, Lectures & Tutorials and
Technicians
SUA,, Technicians
MDA's & LGA's,, Mkeka wa Taifa
TRA,, Mkeka wa Taifa
WIZARA YA KILIMO,, Mkeka wa Taifa
UDOM,, Lectures & Tutorials.
LITA,TARILI,, Technicians.
Kama nimeacha basi ni Taasisi chache
Kuna Agricultural Seed Agency (ASA) na wao pia hawajatoa.Bado pia wa TANZANIA ATOMIC ENERGY COMMISSION (TAEC)
Hizo ndio za Wizara ya Kilimo.. jumla ya posts ni 524.. walioomba wategemee kuanzia mwezi OctoberKuna Agricultural Seed Agency (ASA) na wao pia hawajatoa.
Sana , hawaelewekWakuu majibu mbona bado kimya, wanatupa wakati mgumu aisee.
Ibgia kwenye Account yako kijnaWakuu majibu mbona bado kimya, wanatupa wakati mgumu aisee.
Wanaweka huko?Ibgia kwenye Account yako kijna
Wameanza kuweka?maana kesho kuna interview za oral kama ratiba zinavyosema ila majibu hawajaapdate mpaka sasa.kuna watu wapo dom walitegemea kama majibu yangetoka mchana mida hii wangekuwa safarini makwao lakini ndio hivyo washalipia sehem za kulala tena.Ibgia kwenye Account yako kijna