Bossladies
Member
- Jul 6, 2022
- 26
- 68
Loan board Heslb mbona hawatoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mimi naungana na wewe mkuu kuwatakia kila la kheri.Kila la kheri wale wasaka Mirija ya Asali wanaendelea na Usaili wa Oral siku ya leo
Dah mkeka umechanika mkuu?Na mimi naungana na wewe mkuu kuwatakia kila la kheri.
Mimi tayari nipo ndani ya gari, tayari kwa kuondoka
Umepanda ndinga gani mheshimiwa?Na mimi naungana na wewe mkuu kuwatakia kila la kheri.
Mimi tayari nipo ndani ya gari, tayari kwa kuondoka
Tatizo hiz interview hazitabiriki.. kama ya Bunge Ile wamechukuwa kuanzia 50 kupanda juu..Na mimi naungana na wewe mkuu kuwatakia kila la kheri.
Mimi tayari nipo ndani ya gari, tayari kwa kuondoka
Kwenda oral inabidi angalau uwe top 10 ndio unakuwa na uhakika.Dah mkeka umechanika mkuu?
Hahahahahaa, mtanijua sasa huenda mpo kwenye hii ndingaUmepanda ndinga gani mheshimiwa?
Ha ha..Acha uoga mheshimiwaHahahahahaa, mtanijua sasa huenda mpo kwenye hii ndinga
Kweli mkuu, nafasi na matokeo ndio ziaamua wachaguliwe wangapi kwenda oral.Tatizo hiz interview hazitabiriki.. kama ya Bunge Ile wamechukuwa kuanzia 50 kupanda juu..
Ila zingine unakuta umepata 58 na umeachwa kulingana na Matokeo husika na idadi inayohitajika kwenda Oral
Mtaanza kunizooma hapa.Ha ha..Acha uoga mheshimiwa
Sijui kwanini ipo hivi?Hata mimi huwa naitumia Jf kwa kificho sanaaaa,sipendi mtu ajue nitumia Jf.Mtaanza kunizooma hapa.
Nishagundua, mtu akiwa anatumia JF huwa anakuwa makini sana kuliko akiwa anatumia mitandao mingine.
Jana nilikuwa napata chakula kwenye kagenge fulani maeneo ya Msikiti wa Gaddaf, pale kulikuwa na TV na pia mechi ya Simba na KMC ilikuwa hewani, kuna mtu nilimuona anatumia JF, aliponiona nimempiga jicho akatoka kwenye App ya JF fast.
Akibahatika kuijua ID atakuzoom sana kwa unayoandika huku.Sijui kwanini ipo hivi?Hata mimi huwa naitumia Jf kwa kificho sanaaaa,sipendi mtu ajue nitumia Jf.
Hiyo nyomi naona inatafutiwa muda wake maalum, sasa naona wanacompile hivi vidogo vidogo kwanza.Wale wa MDA na LGA's lini Sasa? Naona status Bado Received.
Sensa ilichelewesha mambo, huu mwezi wote na wa 10, ni route za kupishana Dom tuBado naona pdf za shortlist zinazidi miminika tu
Placement ndiyo hazitoki niniSensa ilichelewesha mambo, huu mwezi wote na wa 10, ni route za kupishana Dom tu
Zinaweza zikatoka pamoja na hizi zinazofanyika sasaPlacement ndiyo hazitoki nini