makofia360
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 776
- 2,392
Kweli japo kuna mwamba anambia mwezi huu lazima watoe semina elekezi kwa placemet iliyopita zimekwishwa,,,waajiri ni jukumu lao kuandaa mazingira ya waajiriwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli japo kuna mwamba anambia mwezi huu lazima watoe semina elekezi kwa placemet iliyopita zimekwishwa,,,waajiri ni jukumu lao kuandaa mazingira ya waajiriwa
yah wanavyodai mwezi huu hauishi.... inatoka pdf iliyoshibaKweli japo kuna mwamba anambia mwezi huu lazima watoe semina elekezi kwa placemet iliyopita zimekwishwa,,,
Kweli mkuu ngoja tuone aiseeyah wanavyodai mwezi huu hauishi.... inatoka pdf iliyoshiba
aminKweli mkuu ngoja tuone aisee
License huwa zinakuwa uploaded sehemu ya professional QualificationKwenye portal kuna sehemu ya kuattach registration Certificate, ila hamna sehemu ya kuattach Licence certificate.
Kwa hiyo hapa ilitakiwa niziunganishe kwenye PDF moja halafu niattach kwenye sehemu ya Registration Certificate?
Haiwezekani wakuite kwenye interview mbili mpk tatu bila kukupa matokeo yako ya mwisho ya interview yako ya kwanza, kwakuwa wameanza kuita tena kwa kasi basi sidhani kama itafika tar 25 mwezi huu hawajatoa placement.Na iwe hivyo kiongozi maana unaeeza kuta tunaendeleza mapambano kumbe kwe placements upo huku ukiziba ridhiki kwa wengine au unaweza kusema kwe placements upo kumbe haupo ukadharau saili nyingine
Hawana namna lazima watoe, tarehe 1 mwezi ujao mjiandae kuingia mzigoni.Kweli japo kuna mwamba anambia mwezi huu lazima watoe semina elekezi kwa placemet iliyopita zimekwishwa,,,
Baba lumba unaeeza mfanya mgonjwa alioko ICU akapona hafla kwa maneno ya faraja na kutia moyo 😂😂😂Haiwezekani wakuite kwenye interview mbili mpk tatu bila kukupa matokeo yako ya mwisho ya interview yako ya kwanza, kwakuwa wameanza kuita tena kwa kasi basi sidhani kama itafika tar 25 mwezi huu hawajatoa placement.
Itakuwa wanasubiri placement ziwe nyingi.. ili habari iwe na mshindo mkubwa.....Kama wanasubiri wachanganye na hawa wanaoendelea na usaili itakuwa mwakani na hiyo pdf itakuwa na page 10000
ficha hizo identity za watu mkuu... sasa umeweka mpaka na jina lake la nini? kuna watu wengine hawapendi kuwekwa hadharani kiasi hiki... hutasaidiwa siku ingine.
Sasa mkuu mbona inawezekana? Mimi mpaka sasa nimepiga oral kama tano hivi ndani ya mwezi mmoja uliopita. Na wiki ijayo nna vikao kama 3 vingine.. kama nimepata nahisi kabisa nazibia wenzangu nafasi... maana usema ukweli kwenye interview zangu huwa sina show mbovu.... 😄😄😄 kwahiyo na hivi vikao vitatu nahisi ntaumiza pia....Haiwezekani wakuite kwenye interview mbili mpk tatu bila kukupa matokeo yako ya mwisho ya interview yako ya kwanza, kwakuwa wameanza kuita tena kwa kasi basi sidhani kama itafika tar 25 mwezi huu hawajatoa placement.
[emoji23][emoji23][emoji23] hawana namna isipokuwa ni kutoa mkeka tu, maana ushajaa, huu mwezi hauishi niamini.Baba lumba unaeeza mfanya mgonjwa alioko ICU akapona hafla kwa maneno ya faraja na kutia moyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Nitajaribu kuwacheki ana kwa ana nikienda kesho DUCEHapo siweji jua wap pa kuweka kwa kweli ila mie Kama Kuna kitu ninacho huwa nakitupia huko training and workshop watajua wenyewe ila kama vipi wacheki maybe watakua na maelekezo ya maana
Kujitia moyo tupo vizuri[emoji23][emoji23][emoji23] hawana namna isipokuwa ni kutoa mkeka tu, maana ushajaa, huu mwezi hauishi niamini.
Ninavyojua hiyo sehemu huwa inaleta option ya Registration Certificate tu ila Licence hamna. Ingekuwepo nisingeacha kuattach.License huwa zinakuwa uploaded sehemu ya professional Qualification
Haiwezekani upate halafu wakuite tena mkuu, na kama wanafanya hvyo basi watuwa na uzembe wa hali ya juu kwa maana watakuwa wanadidimiza uchumi wako na watakuwa hawajui wanachokitafuta, kama umepata kwann wakuite tena Mkuu!?[emoji854]Sasa mkuu mbona inawezekana? Mimi mpaka sasa nimepiga oral kama tano hivi ndani ya mwezi mmoja uliopita. Na wiki ijayo nna vikao kama 3 vingine.. kama nimepata nahisi kabisa nazibia wenzangu nafasi... maana usema ukweli kwenye interview zangu huwa sina show mbovu.... [emoji1][emoji1][emoji1] kwahiyo na hivi vikao vitatu nahisi ntaumiza pia....
Mbona kuna mtu nimemaliza nae aliitwa mahakamani kazini lakini had now anaitwa kwa usaili alizoombaga kitambo hichoHaiwezekani upate halafu wakuite tena mkuu, na kama wanafanya hvyo basi watuwa na uzembe wa hali ya juu kwa maana watakuwa wanadidimiza uchumi wako na watakuwa hawajui wanachokitafuta, kama umepata kwann wakuite tena Mkuu!?[emoji854]
Hahahahahaa, Daahh eti vitambi..
Uko vizuri mkuu, kama ni hivyo hili suala la kuzibia riziki nimeanza kulielewa.Sasa mkuu mbona inawezekana? Mimi mpaka sasa nimepiga oral kama tano hivi ndani ya mwezi mmoja uliopita. Na wiki ijayo nna vikao kama 3 vingine.. kama nimepata nahisi kabisa nazibia wenzangu nafasi... maana usema ukweli kwenye interview zangu huwa sina show mbovu.... [emoji1][emoji1][emoji1] kwahiyo na hivi vikao vitatu nahisi ntaumiza pia....