Vipi kiongozi kwenye oral ulijibu maswali yote au vipi?tupe experience ya oral ulivuka vipiYap mkuu.. ni vigezo pia saa nyingine maana unaweza kukuta product ya chuo kingine ambayo ina vigezo kwahiyo naona ndo imetokea kwangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi kiongozi kwenye oral ulijibu maswali yote au vipi?tupe experience ya oral ulivuka vipiYap mkuu.. ni vigezo pia saa nyingine maana unaweza kukuta product ya chuo kingine ambayo ina vigezo kwahiyo naona ndo imetokea kwangu
hapo inatakiwa ujibu unavitu gani special kuzidi mwingine katika kutimiza kazi ya muajiri wako
Niwekee 2 unaziona ni common,, zingine nitajazia mwenyewehapo inatakiwa ujibu unavitu gani special kuzidi mwingine katika kutimiza kazi ya muajiri wako
Nadhani hili swali huwa linaendana na la utumishi "do you think why are you qualify to be labda medical officer???"
Kweli kabisa mkuu.. nadhan umekutananalo huko kwenye Oral hv juzi.. etyNadhani hili swali huwa linaendana na la utumishi "do you think why are you qualify to be labda medical officer???"
inategemeana na zile duties walizowekaNiwekee 2 unaziona ni common,, zingine nitajazia mwenyewe
Kweli kabisa mkuu.. nadhan umekutananalo huko kwenye Oral hv juzi.. ety
Nilikutana nalo oral ya kwanza kabisa hii ya juzi walinikanda hatari😂😂😂😂
Hii walitoa mengi ya field lakini inataka uwe na experience sana kuyajibuSwali gani lingine la kutumia akili tu uliulizwa.. yaan question out of your professional
Duuuh hiz interview zitatukondesha jamani..Hii walitoa mengi ya field lakini inataka uwe na experience sana kuyajibu
😂😂😂😂Walinigonga maswali nikaona hawa wataniuaDuuuh hiz interview zitatukondesha jamani..
Hahahahaa, ungeomba maji ya kunywa waliyoweka kwenye meza zao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Walinigonga maswali nikaona hawa wataniua
Bila shaka umepata muongozo mkuu.Niwekee 2 unaziona ni common,, zingine nitajazia mwenyewe
😂😂😂😂Yale maswali sijawahi kuwaza kama ningekutana nayo aseeh yalikua deep sana mkuu we acha tuHahahahaa, ungeomba maji ya kunywa waliyoweka kwenye meza zao
😂😂😂😂Sema tu nilikua na maconfidence yangu najibu nnachoona naelewa mimi sikutaka shida zakupanikishana naoHahahahaa, ungeomba maji ya kunywa waliyoweka kwenye meza zao
hapana mkuu nimesoma UDSM bachelor.. masters nikasoma Open University
Nikajua mzumbe kwa kazi za ulecturer huwa wanachukua products zao tu,kumbe wanachukua na kwingine?
Hongera mkuu hii ni chachu kwetu wapambanaji