Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengne iko selected for oral sa sijui imekaaje kwakwelShortlisted
Uliyofanya zilikua nafas ngap na position gan?Kulikua na positions mbili moja kwa wakati mmoja nikachagua kufanya moja nyingine nikapotezea, ile niliyofanya nikatoboa mpaka oral.
Ile ambayo sikufanya status inasoma Shortlisted for Interview
Ile ambayo nimefanya status inasoma Shortlisted.
Sasa mimi Nina statusKulikua na positions mbili moja kwa wakati mmoja nikachagua kufanya moja nyingine nikapotezea, ile niliyofanya nikatoboa mpaka oral.
Ile ambayo sikufanya status inasoma Shortlisted for Interview
Ile ambayo nimefanya status inasoma Shortlisted.
Wengne iko selected for oral sa sijui imekaaje kwakwel
Unaona sasa fujo unazofanyiwa.Sasa mimi Nina status
1.shortlisted hii nilifanya juzi
2.shortlisted hii nilifanya mwaka jana lakini sikupata
3.not selected for oral hii nilifanya mwaka jana
4. Selected for oral hii nilifanya mwaka jana nikakosa
5.shortlisted for interview psrs no.hii sikufanya
Wakati unaendelea kuweweseka kiwendawazimu, PSRS nao huenda wanayeyuka na kanzi data, mara paap umoSuala la application status linataka kuwa kizungumkuti.
Mwaka jana niliomba kazi ya "afisa matunda" kwenye "wizara ya matunda". Zilitangazwa nafasi 2, nilifika oral lakini sikufanikiwa kuitwa kazini.
Application status yangu ilibaki kuwa selected for oral
Mwaka huu kwenye mkeka wa taifa (wenye nafasi 1904), zimetoka nafasi zaidi ya 100 za "afisa matunda" katika wizara ileile (ya matunda), na nimeomba. Application status ya nafasi hii ya mwaka huu, inasoma received (hapa sina shaka kwa sababu bado hawajaita interview).
Kizungumkuti kinakuja pale ambapo status ya nafasi ya afisa matunda (ya mwaka jana) ambayo niliishia oral, ilipobadilishwa kutoka kwenye selected for oral kwenda kwenye SHORTLISTED.
Hiki kitendo ni kidogo sana lakini kinamuwazisha sana jobless huyu anayetaka kuwa afisa matunda.
.... huku nikiweweseka kiwendawazimu....
😂😂😂Yani mpaka hapo wameshaniua maana nilijua status itarudi kama mwanzo lakini naona ngoma ngumu aseeehUnaona sasa fujo unazofanyiwa.
Hakika hizi ndizo KUKURUKAKARA zinazotusibu waomba ajira. Tutafika tumechoka mno.
😂😂😂Yani mpaka hapo wameshaniua maana nilijua status itarudi kama mwanzo lakini naona ngoma ngumu aseeehUnaona sasa fujo unazofanyiwa.
Hakika hizi ndizo KUKURUKAKARA zinazotusibu waomba ajira. Tutafika tumechoka mno.
Watakua wametenda ulumbi wa kimedani, kwa kuniondolea hali ya mtanziko (mazingira mwanambiji).Wakati unaendelea kuweweseka kiwendawazimu, PSRS nao huenda wanayeyuka na kanzi data, mara paap umo
😂😂😂😂Wanayeyuka na kanzi data hahhhhWakati unaendelea kuweweseka kiwendawazimu, PSRS nao huenda wanayeyuka na kanzi data, mara paap umo
Wewe ni tajiri wa status asee, acha tuone what's coming next.😂😂😂Yani mpaka hapo wameshaniua maana nilijua status itarudi kama mwanzo lakini naona ngoma ngumu aseeeh
😂😂😂😂😂😂Wanakuacha na furaha bojobojo hahhhhhWatakua wametenda ulumbi wa kimedani, kwa kuniondolea hali ya mtanziko (mazingira mwanambiji).
Huku wakiniacha na furaha bojobojo
😂😂😂😂Yani status zote ninazo mzee interview zangu tangu nianze hizo ndo zinanipelekesha hivyoWewe ni tajiri wa status asee, acha tuone what's coming next.
Lakini nafikiri hazina effect labdaWewe ni tajiri wa status asee, acha tuone what's coming next.
TA nafasi zilikua 2Uliyofanya zilikua nafas ngap na position gan?
Mi pia nadhani hivo ni bahat ikimuangukia mtuLakini nafikiri hazina effect labda
Mlifanya writen na oral tu au na prac pia?TA nafasi zilikua 2
Mi pia nadhani hivo ni bahat ikimuangukia mtu
Kwa kauchunguzi kangu kadogo nimegundua jamaa zangu wengi waliofika oral, status zao zimeandikwa shortlisted.Lakini nafikiri hazina effect labda