Ahmed Saidi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 1,588
- 3,487
Wapo wawili ila Kuna baadhi ni watatu, ila hao wote watatu wamekuwa recruited DUCE placement ya tarehe 11/10/2022Ina maana Kila chuo waliomba hao wawili tuu hakuna walipozidi bro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo wawili ila Kuna baadhi ni watatu, ila hao wote watatu wamekuwa recruited DUCE placement ya tarehe 11/10/2022Ina maana Kila chuo waliomba hao wawili tuu hakuna walipozidi bro
Dah na ukute duce waliliona Hilo,wakaamua kujiwahia mapema🤣Wapo wawili ila Kuna baadhi ni watatu, ila hao wote watatu wamekuwa recruited DUCE placement ya tarehe 11/10/2022
Kada Gani hyo Iko moto kweli,maana Kuna wawili hao waliopata duce tulikua nao pia AdemWapo wawili ila Kuna baadhi ni watatu, ila hao wote watatu wamekuwa recruited DUCE placement ya tarehe 11/10/2022
Ujanja kuwahiDah na ukute duce waliliona Hilo,wakaamua kujiwahia mapema🤣
Educational psychologyKada Gani hyo Iko moto kweli,maana Kuna wawili hao waliopata duce tulikua nao pia Adem
Narudia tena mtaa wa Moto haswa...Jamani nasubili mkeka wa MDAs and LGAs kada afisa utumishi mwenye idea yoyote msaada wenu wakuu
Kuanzia maswali n.k
Dah mtaa wa moto sana.
Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
Tuwe na subiraJamn mbona lile tangazo la kuitwa kazini taasisi mbalimbali za umma halitoki
Wizy kasema linatoka Leo 🤣Jamn mbona lile tangazo la kuitwa kazini taasisi mbalimbali za umma halitoki
Yani hili unalisubiri were linatoka alafu kada yako huikuti inachomaaaa🤣Jamn mbona lile tangazo la kuitwa kazini taasisi mbalimbali za umma halitoki
😂😂😂😂tusubiri jioni hii uhakikaWizy kasema linatoka Leo 🤣
Kama ni hivyo Bora lisitoke tu😂😂😂😂Yani hili unalisubiri were linatoka alafu kada yako huikuti inachomaaaa🤣
Hujui tu nnavyopata faraja🤣😂😂😂😂tusubiri jioni hii uhakika
Acha kabisaKama ni hivyo Bora lisitoke tu😂😂😂😂
Uhakika amini mzee me jtatu lazima nikachukue barua utumishi 😂😂Hujui tu nnavyopata faraja🤣
😂😂😂😂Acha kabisa
Tutaongozana haina shida mkuuUhakika amini mzee me jtatu lazima nikachukue barua utumishi 😂😂
😂😂😂😂😂hahhhhh hawajui kama hizi kazi tunazisubiri kwa nguvu zoteTutaongozana haina shida mkuu