😂😂😂😂Nikuchapa mwendo kama injiliWengine tunasubiri liteme tuvae viatu tunyanyue bahasha chapa mwendo utumishi🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂Nikuchapa mwendo kama injiliWengine tunasubiri liteme tuvae viatu tunyanyue bahasha chapa mwendo utumishi🤣
Kuna nafasi ya kazi imetangazwa UDSMWengine tunasubiri liteme tuvae viatu tunyanyue bahasha chapa mwendo utumishi🤣
Ameen dadaNawaombea nyote hapa 2023 ifike tukiwa na kazi ata kuwa placed tu.
🙌🙌🙌🙌🙌Aisee list ni ndefuNIMEANGALIA USAILI WA SEPTEMBER 10 MPAKA 12
1.Bugando (BMC)
2.Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI), 3.Hospitali ya Kikristo ya kilimanjaro (KCMC),
4.Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH),
5. Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI),
6.Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA),
7.Bodi ya Usajili wa wakandarasi (ERB), 8.Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI),
8.Baraza la kiswahili la Taifa (BAKITA),
9.Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi
(NACTEVET),
10. Taasisi ya Uhasibu Arusha (IAA) na 11.Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.
HAO WOTE HAPO WANASUBIRI PLACEMENTS
View attachment 2401273
Nadhani huenda ndio sababu muda kidogo umesogea sema ni vile Kila mtu anavutia taasisi yake itoke mapema🙌🙌🙌🙌🙌Aisee list ni ndefu
Balaa na nusu kakaSEPTEMBER 5 MPAKA 9
1.Chuo cha Uhasibu Tanzania (TIA),
2.Chuo cha Serikali za Mitaa (LGTI),
3.Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na
Wakadiriaji Majenzi (AQRB),
4.Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA),
5.Kitengo cha Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu (MPRU),
6.Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR),
7.Wakala wa Vipimo (WMA),
8.Wakala wa Huduma za Ununuzi Serikalini (GPSA),
9.Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI),
10.Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo
wa Juu wa Petroli (PURA),
11.Baraza la Famasia Tanzania (PCT), 12.Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO), 13.Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo (LST),
14.Water Institute (WI),
15.Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) na 16.Taasisi ya Ustawi wa Jamii (ISW)
NA HAO PIA WANASUBIRI KULAMBA ASALI
TUENDELEE KUVUTA SUBRA MAANA JAMAA WANAFOLENI LA TAASISIView attachment 2401282
[emoji120]Nawaombea nyote hapa 2023 ifike tukiwa na kazi ata kuwa placed tu.
PDF itakuwa nzito sanaNIMEANGALIA USAILI WA SEPTEMBER 10 MPAKA 12
1.Bugando (BMC)
2.Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI), 3.Hospitali ya Kikristo ya kilimanjaro (KCMC),
4.Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH),
5. Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI),
6.Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA),
7.Bodi ya Usajili wa wakandarasi (ERB), 8.Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI),
8.Baraza la kiswahili la Taifa (BAKITA),
9.Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi
(NACTEVET),
10. Taasisi ya Uhasibu Arusha (IAA) na 11.Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.
HAO WOTE HAPO WANASUBIRI PLACEMENTS
View attachment 2401273
AmenNawaombea nyote hapa 2023 ifike tukiwa na kazi ata kuwa placed tu.
NIMEANGALIA USAILI WA SEPTEMBER 10 MPAKA 12
1.Bugando (BMC)
2.Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI), 3.Hospitali ya Kikristo ya kilimanjaro (KCMC),
4.Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH),
5. Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI),
6.Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA),
7.Bodi ya Usajili wa wakandarasi (ERB), 8.Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI),
8.Baraza la kiswahili la Taifa (BAKITA),
9.Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi
(NACTEVET),
10. Taasisi ya Uhasibu Arusha (IAA) na 11.Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.
HAO WOTE HAPO WANASUBIRI PLACEMENTS
View attachment 2401273
Twende mbele turudi nyuma jamani, Mama kwenye ajira anaupiga mwingi kama MayeleSEPTEMBER 5 MPAKA 9
1.Chuo cha Uhasibu Tanzania (TIA),
2.Chuo cha Serikali za Mitaa (LGTI),
3.Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na
Wakadiriaji Majenzi (AQRB),
4.Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA),
5.Kitengo cha Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu (MPRU),
6.Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR),
7.Wakala wa Vipimo (WMA),
8.Wakala wa Huduma za Ununuzi Serikalini (GPSA),
9.Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI),
10.Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo
wa Juu wa Petroli (PURA),
11.Baraza la Famasia Tanzania (PCT), 12.Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO), 13.Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo (LST),
14.Water Institute (WI),
15.Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) na 16.Taasisi ya Ustawi wa Jamii (ISW)
NA HAO PIA WANASUBIRI KULAMBA ASALI
TUENDELEE KUVUTA SUBRA MAANA JAMAA WANAFOLENI LA TAASISIView attachment 2401282
Nahisi kinachochelewesha ni uaandaaji wa barua kwa kila mmoja maana PDF likitokaga huwa wanasema mkachukue barua jambo ambalo huwezi kudhani barua zinaandaliwa siku hiyo ukienda.SEPTEMBER 5 MPAKA 9
1.Chuo cha Uhasibu Tanzania (TIA),
2.Chuo cha Serikali za Mitaa (LGTI),
3.Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na
Wakadiriaji Majenzi (AQRB),
4.Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA),
5.Kitengo cha Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu (MPRU),
6.Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR),
7.Wakala wa Vipimo (WMA),
8.Wakala wa Huduma za Ununuzi Serikalini (GPSA),
9.Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI),
10.Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo
wa Juu wa Petroli (PURA),
11.Baraza la Famasia Tanzania (PCT), 12.Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO), 13.Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo (LST),
14.Water Institute (WI),
15.Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) na 16.Taasisi ya Ustawi wa Jamii (ISW)
NA HAO PIA WANASUBIRI KULAMBA ASALI
TUENDELEE KUVUTA SUBRA MAANA JAMAA WANAFOLENI LA TAASISIView attachment 2401282
Amejitahidi for sure ingawa sijapata lakini mwanga nauona mbeleniTwende mbele turudi nyuma jamani, Mama kwenye ajira anaupiga mwingi kama Mayele
KabisaAmejitahidi for sure ingawa sijapata lakini mwanga nauona mbeleni
Ni kweli kabisa kakaTwende mbele turudi nyuma jamani, Mama kwenye ajira anaupiga mwingi kama Mayele
Ni kweli na unakuta Kila mtu ana details zake ndani ya barua ambazo zinatofautiana na za mwingine.. kwakweli ngoja tuendelee kuwa wapoleNahisi kinachochelewesha ni uaabdaaji wa barua kwa kila mmoja maana PDF likitokaga huwa wanasema mkachukue barua jambo ambalo huwezi kudhani barua zinaandaliwa siku hiyo ukienda.
Placement iliyopita wadau walisema barua zilionesha zimeandaliwa muda mrefu uliopita, hilo linathibitisha hili ninalohisi.
Hivyo basi, wasubiri placement endeleeni na maombi na subira!
Uzi utaendelea kwa muda mrefu sana kama tamthilia ya Isidingo, main characters tu watabadilika, dhima ile ile.Uzi mrefu kwelikweli,huu kuisha ni ngumu labda wote tupate placements