Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwa sababu mtaani ajira private sector ni chache sana na zilizopo watu wanapeana kwa kujuana na vijana hawana fursa za mitaji kujiajiri , hamna anayependa kwenda kuteseka huko kwenye misululu ya watu 4000 kugombania nafasi 3 ,ni kwamba hali ya wasakatonge ni mbaya mno mtaani .

Ukitaka kujua jinsi hali ya ukosefu wa ajira nchi hii ilivyombaya angalia ratio kati ya Job applicants na job vacancies , fanya maths hapo uone ratio , utabaki kinywa wazi .
Mi kuna muda nahisi tushafika au soon tunafika levels za wenzetu westAfricans kama Nigeria kule ambao ni kiwanda cha kuzalisha criminals na caravans za illegal migrants kwenda Europe kwa Mitumbwi.

Shida ni kwamba sisi watu weusi huwa tunachukulia mambo easy sana , unakuta tunaona magnitude ya tatizo ilivyo ila utakuta hata serikali yenyewe hawaji na real implementatable solution ,ni maneno ya kipuuz na kejeli dhidi ya waganga wa hilo tatizo bila kujua ni ticking time bomb ambayo inaweza matatizo mengi sana ya kijamii .
Hata sisi tumeshafika level za nchi za W/ African kama Nigeria, ukiangalia kwa mwaka huu waombaji wa Green Card rottery wameongezeka mara dufu. Hii ni dalili raia wamechoka kwa ugumu wa maisha chanzo kikiwa ni ukosefu wa ajira.
 
HABARI ZA HIVI PUNDE:

Hatimaye kipofu kaona Mwezi, hii ni sherehe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Selected for Oral Interview.

Kumbe kunakuwaga na raha hivi, halafu hamsemi...

wizy niazime suti yako nikawande tena kwenye hatua ya mwisho.

Prok usisahau kuja na mwavuli ili suti ya wizy isije ikapauka na joto bure[emoji3][emoji3][emoji3]
 
HABARI ZA HIVI PUNDE:

Hatimaye kipofu kaona Mwezi, hii ni sherehe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Selected for Oral Interview.

Kumbe kunakuwaga na raha hivi, halafu hamsemi...

wizy niazime suti yako nikawande tena kwenye hatua ya mwisho.

Prok usisahau kuja na mwavuli ili suti ya wizy isije ikapauka na joto bure[emoji3][emoji3][emoji3]
Hongera sanaa Mwifwa
 
HABARI ZA HIVI PUNDE:

Hatimaye kipofu kaona Mwezi, hii ni sherehe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Selected for Oral Interview.

Kumbe kunakuwaga na raha hivi, halafu hamsemi...

wizy niazime suti yako nikawande tena kwenye hatua ya mwisho.

Prok usisahau kuja na mwavuli ili suti ya wizy isije ikapauka na joto bure[emoji3][emoji3][emoji3]
😂😂😂😂😂kiongozi hongera sana umeona nilikwambia angalia mzigo huu lazima uende oral hasa soma sasa ukawakande
 
HABARI ZA HIVI PUNDE:

Hatimaye kipofu kaona Mwezi, hii ni sherehe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Selected for Oral Interview.

Kumbe kunakuwaga na raha hivi, halafu hamsemi...

wizy niazime suti yako nikawande tena kwenye hatua ya mwisho.

Prok usisahau kuja na mwavuli ili suti ya wizy isije ikapauka na joto bure[emoji3][emoji3][emoji3]
Nimejikuta nimefurah kwa ajili yako brooo!!!marufuku kukata tamaa
 
Faster sana muanze kupean experience ya kupamban na oral.
Sahau kama umepita hapo kwny Written Hasira na Mipango yote Ihamie namna ya Kujibu na Kutoboa Oral.
Lazima wadau muingie kwny Pdf la placement Au Database.
 
HABARI ZA HIVI PUNDE:

Hatimaye kipofu kaona Mwezi, hii ni sherehe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Selected for Oral Interview.

Kumbe kunakuwaga na raha hivi, halafu hamsemi...

wizy niazime suti yako nikawande tena kwenye hatua ya mwisho.

Prok usisahau kuja na mwavuli ili suti ya wizy isije ikapauka na joto bure[emoji3][emoji3][emoji3]
Hongera mkuu hope utapita.

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
 
HABARI ZA HIVI PUNDE:

Hatimaye kipofu kaona Mwezi, hii ni sherehe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Selected for Oral Interview.

Kumbe kunakuwaga na raha hivi, halafu hamsemi...

wizy niazime suti yako nikawande tena kwenye hatua ya mwisho.

Prok usisahau kuja na mwavuli ili suti ya wizy isije ikapauka na joto bure[emoji3][emoji3][emoji3]

Hahaha, Mkuu unatuchanganya tunaosali kukuombea, tumwambie kipi Mungu kwa umepita au hujapita kwenda Oral?

All in all hongera sana Mkuu.
 
HABARI ZA HIVI PUNDE:

Hatimaye kipofu kaona Mwezi, hii ni sherehe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Selected for Oral Interview.

Kumbe kunakuwaga na raha hivi, halafu hamsemi...

wizy niazime suti yako nikawande tena kwenye hatua ya mwisho.

Prok usisahau kuja na mwavuli ili suti ya wizy isije ikapauka na joto bure[emoji3][emoji3][emoji3]
This is so great just nimepass mm [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
HABARI ZA HIVI PUNDE:

Hatimaye kipofu kaona Mwezi, hii ni sherehe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Selected for Oral Interview.

Kumbe kunakuwaga na raha hivi, halafu hamsemi...

wizy niazime suti yako nikawande tena kwenye hatua ya mwisho.

Prok usisahau kuja na mwavuli ili suti ya wizy isije ikapauka na joto bure[emoji3][emoji3][emoji3]
Kwani pdf imepandishwa tayari?
 
Back
Top Bottom