Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hahahaaa, nilikaribishwa kwa mkando heavy sana pale CIVE, kabla sijakaa vizuri nikatandikwa ndoige pale DUCE[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3], nikawa najisemea kumbe mambo ndio yako hivi. Nikirudi kijiweni nikiwa mnyonge, nilipoulizwa mambo yalivyoenda nikawaambia "nimekimbia" kwani mambo sio kitoto.

Muda huo mwenzangu ambaye niliambatana naye, alifika oral zote na nikamuacha akiwa anapambana na oral, mimi nikarudisha mpira kwa kipa(kijiweni), aliporudi sikuwa na mood ya kumuuliza nini kilichoendelea kule. Nilibaki kuwa mnyonge huku nikifikiria jinsi nafasi inavyotokaga kwa mbinde.

Nilipumzika wiki 1 nikaanza maandalizi ya kurudi UDOM, mara hii ilikuwa CBSL, huku tena nilichezea "Mandonga mtu kazi"[emoji3][emoji3][emoji3] huku mwenzangu akiendelea kupeta.

Kwenye Profile ikawa imebaki received ya NAOT huku nikiikatia tamaa kuanzia hatua ya kuitwa kwa mkando wa written. Nilirudi kuja kueleza hapa ila nasaha kutoka kwa majobless wa humu ikawa chorus ninayoimbiwa[emoji3][emoji3] hadi vina vikaniingia kwenye Oblongata na hatimaye shortlist ya NAOT ikatoka na nikawemo. Si nikaenda kujilipua kimasikhara[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3], cheche zikatua kwa wakandaji wa ana kwa ana ofisini kwao nikawa miongoni mwa wasubiri placement.

Sasa target yangu ni angalau niingie database, siku nikiona jina kwenye placement tutashereheka wote ushindi humu.

Kama tulianza wote kusubiri shortlists, tukakandwa, tukaimprove na kufika oral tukiwa tunashare feelings kwa pamoja, haitashindikana kusherehekea ushindi kwa pamoja.

#MkonoKwaMkonoHadiKwenyeMrijaWaAsali
Humu ndani Watu wanakamdwa sana .mpaka hutamani kurudi hapo CIVE
Capture%2B_2022-11-10-19-12-33.jpg
 
Juzi Niliona Mjadala Kuhusu Kuitwa Taasisi 2 Tofauti.
Kuna Boy Aliwaha kufany usaili TRC mwaka Jana Mwishoni.
Pia Alifanya usaili wa TPA mwaka huu Post Ya Artisan.
TRC wakamwita kazini akafata Barua Pspr Na Kuanza Kazi Ila Mshahara Kiduchu. Boy Aliniambia Anakula Box 3 na Ushee Na Kila K2 Anajitegemea Wakati Akisherekea Kuingia kwny Mrija Wa Asali., Upande wa Pili Anasononeka Kulamba Asali Kwa Kiwango Kidogo
TPA placement ikaja Kutoka kwny Ule mkeka pia akiwepo.
Akauliza Wadaub wa TPA Huko Mrija Unatema Kwa Kiwango Gani.
Boy To Man akambiwa mshahara Hautofautian sana ila kule kuna Allowance nyingi ela ya usafiri, Kodi, na mengine plus Overtime So Wanapata zaidi.
Akanipigia Simu Kuniuliza Mkakati Wa Kufanya Aende PSPR Kufata Barua Then Asepe TPA.
Barua alipewa n PsPr akariport TPA Akafany Vipimo.
Cheque No Ya Hazina Ndo ilikuja Kumtemesha Ndoano.
Ndoto Ikapepea Yupo TRC Anaendelea Na Majukumu
Dah inasikitisha kweli mi TPA napakubali sana pale kuna mbaba jirani yetu ni office attendant tu ila dah pale kitaa anaupgwa mwingi sana Watu wanadhan jamaa ni bonge la bosi kule bandari Kumbe wapi ,jamaa ana ndinga Kali sana
 
Juzi Niliona Mjadala Kuhusu Kuitwa Taasisi 2 Tofauti.
Kuna Boy Aliwaha kufany usaili TRC mwaka Jana Mwishoni.
Pia Alifanya usaili wa TPA mwaka huu Post Ya Artisan.
TRC wakamwita kazini akafata Barua Pspr Na Kuanza Kazi Ila Mshahara Kiduchu. Boy Aliniambia Anakula Box 3 na Ushee Na Kila K2 Anajitegemea Wakati Akisherekea Kuingia kwny Mrija Wa Asali., Upande wa Pili Anasononeka Kulamba Asali Kwa Kiwango Kidogo
TPA placement ikaja Kutoka kwny Ule mkeka pia akiwepo.
Akauliza Wadaub wa TPA Huko Mrija Unatema Kwa Kiwango Gani.
Boy To Man akambiwa mshahara Hautofautian sana ila kule kuna Allowance nyingi ela ya usafiri, Kodi, na mengine plus Overtime So Wanapata zaidi.
Akanipigia Simu Kuniuliza Mkakati Wa Kufanya Aende PSPR Kufata Barua Then Asepe TPA.
Barua alipewa n PsPr akariport TPA Akafany Vipimo.
Cheque No Ya Hazina Ndo ilikuja Kumtemesha Ndoano.
Ndoto Ikapepea Yupo TRC Anaendelea Na Majukumu
Ushuhuda nzuri nadhani hapa unaweza chagua taasisi kabla hujaenda kuripoti ikitokea placement zimetoka kabla haujaanza kazi sehemu mojawapo
 
Back
Top Bottom