Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Sawa mkuu wewe unapita bila kukaguliwa hata Kama umebeba magendo nakupa ofa [emoji23] [emoji23][emoji38] [emoji23] [emoji23][emoji16][emoji23] (Joking)

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Ila mwanangu cha msingi katika utumishi wako jitahidi kuweka ushirikiano muonedhe furaha kila mtumishi mwenzako,,,penda kujifunza kupitia utao wakuta,,,usiwe mtu wa kujitenga sana washirikishe kile unachoona kina utata changamoto zitabaki ndogo mno za kiutumishi ambazo ni za kawaida mungu yu pamoha nawew
 
Ila mwanangu cha msingi katika utumishi wako jitahidi kuweka ushirikiano muonedhe furaha kila mtumishi mwenzako,,,penda kujifunza kupitia utao wakuta,,,usiwe mtu wa kujitenga sana washirikishe kile unachoona kina utata changamoto zitabaki ndogo mno za kiutumishi ambazo ni za kawaida mungu yu pamoha nawew
Shukrani Sana mkuu kwa ushauri wako konki hakika nitafuata maoni yako

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Ila mwanangu cha msingi katika utumishi wako jitahidi kuweka ushirikiano muonedhe furaha kila mtumishi mwenzako,,,penda kujifunza kupitia utao wakuta,,,usiwe mtu wa kujitenga sana washirikishe kile unachoona kina utata changamoto zitabaki ndogo mno za kiutumishi ambazo ni za kawaida mungu yu pamoha nawew
Kumbe jobless wakati mwingine kunakuwaga na akili tu😂😂😂😂
 
Nimesoma Hr nimefanya interview Security nimekosa[emoji3][emoji3][emoji3]wakuu nauliza je, naweza kupata placement ya U-HR endapo nimo data base na nafasi zikipatikana au ntakuwa database kufit nafasi za ulinzi tu[emoji847][emoji847]???
Kila taasisi unaingia ndugu...omba mungu uwepo data base

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Nimesoma Hr nimefanya interview Security nimekosa[emoji3][emoji3][emoji3]wakuu nauliza je, naweza kupata placement ya U-HR endapo nimo data base na nafasi zikipatikana au ntakuwa database kufit nafasi za ulinzi tu[emoji847][emoji847]???
Na ikitokea umepata kazi mfano taasisi kama TANESCO kwa nafasi hiyo ya hr mwaka tu una subaru.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Ivi ukiingia oral huwa wanajumlisha na pass marks ya written au practical au ukiingia oral wanaanza upya kukukanda je mfano Naweza ongoza practical maybe oral tumefika 7 nafasi 4 na nikiingia oral naweza kukandwa mfano poa nisaidieni jibu
 
Sawa mkuu maana wengine tunaona taasisi zao zinawachelewesha Sana kuanza kazi mfano TRC waliitwa kazini March mwaka huu wakaripoti Ila wakaambiwa warudi nyumbani watapigiwa simu wamekuja kuitwa mwezi August kuanza kazi, so wamekaa home miezi 5 sijui inatokana na Nini hii Hali

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Dah nchi ngumu hii miezi 5 unasbria kupigiwa sm so sad
 
Back
Top Bottom