Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kaka wewe noma sana huyu ni yeye asilimia 99.9
Kweli uyu jamaa ni hatar kaonganisha adi tarehe za ORCI ambazo sijui zina husiana na nn. Nikaone nifanye research ndogo kumuonesha sio mm.

hii account imetengenezwa trh 10 dec but last seen ya wizy ni trh 11 dec, hii inatosha kusema mm sio yeye, hapa msomi wa cuba kidogo hakuwa sawa kwenye data kasahau taarifa muhimu.
 
Naona navojitaidi kusisitiza mm sio yeye ndo kama nazid kusema mm ndo yeye. ngoja nitulie, kama atarudi ata thibitisha hilo.
Huu ni mwaka wa 5 sasa nipo humu JF na Id yangu hii hii, member wengi ambao tushawahi kuinteract mara kwa mara huwa sishindwi kuwatambua pindi wakija na ID mpya.

Utakuta mtu kapigwa Ban halafu kaja na ID mpya, huwa sishindwi kumtambua, wengine huwa wanaamua kuwa na Id kadhaa kwa interest zao, pia sishindwi kuwatambua.

Wewe uliyejileta mzima mzima kwenye uzi huu pendwa wa majobless ndio kabisaa tumekutambua fast [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kweli uyu jamaa ni hatar kaonganisha adi tarehe za ORCI ambazo sijui zina husiana na nn. Nikaone nifanye research ndogo kumuonesha sio mm.

hii account imetengenezwa trh 10 dec but last seen ya wizy ni trh 11 dec, hii inatosha kusema mm sio yeye, hapa msomi wa cuba kidogo hakuwa sawa kwenye data kasahau taarifa muhimu.
Sasa si uliacha kuingia humu hiyo tarehe 11 na ID hiyo(Wizy) baada ya hii ID kuwa approved na Mods?

Kumbuka ukijiunga utasubiri kwanza hadi Mods waiapprove ndani ya saa 24
 
Kaka sio mm ii account ni ya tereh 10 dec kama ulivo sema, last seen ya wizy ni tarehe 11 dec kama angetaka ku change ID ange badilishaa baada ya tareh 11 au tareh 11 hio2.
Halafu naona utakuwa unacheka sana jinsi unavyotujibu hivi.

Sisi tushahitimisha mkuu, wala hatukuingilii wewe maamuzi yako japo wengi humu walikuwa na shauku ya kuleta mrejesho wa placement kama ulipata au la maana tulikuwa tayari kupokea habari yoyote ile maana lazima ingekuja habari ya aina moja kati ya aina 2 ambazo zingeweza kutokea.

Kama ungepata tungefurahia wote na pongezi nyingi kama tunavyofanya kwa wengine (Ahmet meck pro Cvez n.k)

Pia kama ungekosa tungetiana moyo kama kawaida yetu, Ahmet alikosa Muhas, Muce alikuja hapa tukamtia moyo, tulimwambia atapata IAE, wewe ulikuwa kinara wa kumwambia hivyo na kweli alikuja kupata.

So pongezi zetu na hamasa zetu za kutia moyo ukaamua uzikimbie, tulikutafuta kwa udi na uvumba mwisho wa siku tukaamua kukubaliana na hali na life likasonga mbele.
 
Sasa si uliacha kuingia humu hiyo tarehe 11 na ID hiyo(Wizy) baada ya hii ID kuwa approved na Mods?

Kumbuka ukijiunga utasubiri kwanza hadi Mods waiapprove ndani ya
Id yangu ina siku ya 3 toka iwe approved nilipo post for the first time na sio kama unavowaza kuwa nilisubiri iwe approved. Nilikaa nayo bila kua aproved for long time
 
Kuna placements ya MNJUAT....mkaangalie majina yenu mliofanya usahili huo.
The return of mzee wa flash, ngoja tuone atashusha placements ngapi kabla mwaka haujapinduka.

Hongereni wakufunzi wote mliopata mrija wa Asali. Mkawe watumishi wema na chachu ya mapinduzi ya kielimu
 
Halafu naona utakuwa unacheka sana jinsi unavyotujibu hivi.

Sisi tushahitimisha mkuu, wala hatukuingilii wewe maamuzi yako japo wengi humu walikuwa na shauku ya kuleta mrejesho wa placement kama ulipata au la maana tulikuwa tayari kupokea habari yoyote ile maana lazima ingekuja habari ya aina moja kati ya aina 2 ambazo zingeweza kutokea.

Kama ungepata tungefurahia wote na pongezi nyingi kama tunavyofanya kwa wengine (Ahmet meck pro Cvez n.k)

Pia kama ungekosa tungetiana moyo kama kawaida yetu, Ahmet alikosa Muhas, Muce alikuja hapa tukamtia moyo, tulimwambia atapata IAE, wewe ulikuwa kinara wa kumwambia hivyo na kweli alikuja kupata.

So pongezi zetu na hamasa zetu za kutia moyo ukaamua uzikimbie, tulikutafuta kwa udi na uvumba mwisho wa siku tukaamua kukubaliana na hali na life likasonga mbele.
Huenda kijana alikandwa ndio maana aliamua kukaa kimya. Ukizingatia alikua na expectations kubwa sana na nafasi ile so huenda disappointment ilikua kubwa.



Ila Wizy alikua na utoto mwingi sana 😂😂😂 namkumbuka sana kijana wangu katika issue serious analeta utani.
 
Id yangu ina siku ya 3 toka iwe approved nilipo post for the first time na sio kama unavowaza kuwa nilisubiri iwe approved. Nilikaa nayo bila kua aproved for long time
Kwamba ukipost ndio wana approve?

Mimi najua ukijiunga ndio unasubiri waiapprove ndio uweze kupost. Kumbuka ukijiunga wao watapokea taarifa za ujio wa member mpya na ndio wata approve kwanza
 
Huenda kijana alikandwa ndio maana aliamua kukaa kimya. Ukizingatia alikua na expectations kubwa sana na nafasi ile so huenda disappointment ilikua kubwa.



Ila Wizy alikua na utoto mwingi sana [emoji23][emoji23][emoji23] namkumbuka sana kijana wangu katika issue serious analeta utani.
Hata hivyo haikuwa mara yake ya kwanza kukandwa, alikuwa mzoefu.

Siamini kama kweli alishindwa kuhandle hiyo situation hadi akimbie.

Yeye alikuwa anapambania post 2, wengine tunaopambania nafasi 1 sijui tusemeje maana probability 0.1% kutoboa.

Naomba kutoa wito kwa wote tunaofukuzia hii mirija Asali, tujaribu kuwa na mentality ya kupokea matokeo ya pande zote mbili.

Yakiwa mazuri ni ushindi na yakiwa mabaya tusife moyo bali tuwe strong na kuweza kuendelea kupambana zaidi.

Tukiweka akili zetu hivi hatutapashida ya kukabiliana na matokeo ya kila aina.
 
Wapo waliokuwa wanasema hivi ila wakaja kujaribu tena, tena kwenye taasisi zingine na wakapata.

Mkuu usife moyo bahati ipo ila muda bado haujafika, muda ukifika utafurahi mwenyewe.

Be strong na songa mbele.
Kabisa nimeshakandwa mara 3 utumishe zote nimeishia written. Ile moja niliyofika oral ndio hiyo hiyo nilitoboa
 
Back
Top Bottom