Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hongera sana physiotherapist mtorela[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sasa natumai nawewe nitakuona ona kwenye jukwaa la mahusiano kule[emoji23]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]mwana wa JOSEPH safi sana. Naamini tukishapata kazi wote humu kila sehemu (taasisi) tukiwa tunataka huduma kuna watu (ma x-jobless) wenzetu wapo. Mfano kwasasa tunao taasisi hizi veta , IAE( Taasisi ya Elimu watu wazima), muhimbili, OCEAN ROAD japo kabadili ID, taasisi tunazosubiri ni HESLB, TRA, NAOT n.k
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]mwana wa JOSEPH safi sana. Naamini tukishapata kazi wote humu kila sehemu (taasisi) tukiwa tunataka huduma kuna watu (ma x-jobless) wenzetu wapo. Mfano kwasasa tunao taasisi hizi veta , IAE( Taasisi ya Elimu watu wazima), muhimbili, OCEAN ROAD japo kabadili ID, taasisi tunazosubiri ni HESLB, TRA, NAOT n.k
Watu mko vizuri mshachungulia pdf tayari kama mimi😂😂
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]mwana wa JOSEPH safi sana. Naamini tukishapata kazi wote humu kila sehemu (taasisi) tukiwa tunataka huduma kuna watu (ma x-jobless) wenzetu wapo. Mfano kwasasa tunao taasisi hizi veta , IAE( Taasisi ya Elimu watu wazima), muhimbili, OCEAN ROAD japo kabadili ID, taasisi tunazosubiri ni HESLB, TRA, NAOT n.k
Wasije wakbadili ID tu😂😂
 
ICT technician
1.introduce your self(education background,achievement and carrier experience)
2.
(a)different between database and software
(b)importance of database

3.(a)mention network topology
(b)importance of network topology.
4(a)what to do to ensure information system is safe.
(b)what would you do in case computer does not get Internet

5(a) how to remove information from failed computer

Anza mazoezi mapema ya kutengeneza mwili kwa ajili ya kuvalia suti utakapokuwa unakwenda ofisini kwako TRA.

HAPO UMETOBOA KAKA.
 
Kuna siku nilikuona kule, ukawa unahadithia hatua mbili tatu kuhusu biashara, baadaye nikaona watu wakaanza kukuomba mtete PM.

Mimi nilipita tu kimya kimya bila kutia neno wala like, maana ukilike, quote, reply tayari mtu anajua ushasoma post yake[emoji3][emoji3]
Acha tu kaka, ubinadamu mgumu sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom