Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Wazo zuri sana

Tutoeni mawazo, ni ajabu sana kama tutaishia kujua kwamba pale Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima nina jamaa yangu wa Jf anaitwa Ahmet na bado sina namna ya kufaidika naye.

Au NAOT yuko ndugu yetu Mwifwa na kuna mtu anatamani kujua maisha ya pale ofisini yakoje lakini hana namna ya kumfikia tufauti na ID faki.

Au ukute una ndugu yako anataka kwenda kupigwa mionzi pale Ocean road na unajua kabisa kuna wizy lakini huna namna ya kumtumia kubadilishana mawazo.

Japo usiri uliowekwa Jf ni wa muhimu lakini kama wasomi ni vizuri tukawaza namna ya kufaidika na wataalamu wa humu.
 
Habari za muda huu! Kuna habari gani huko mpya hasa upande wa palcements
Maryjuan Yakunle HS CODE
Mwifwa

Hahahahaha! Mkuu kuwa na amani sana.

Kuna watu humu watafuta ajira wanashinda kwenye website kama tu wafanyakazi wa psrs, wanaingia asubuhi na kutoka jioni. Na mara nyingine wanabaki kazini mpaka saa tano au sita za usiku (over time).

Kwa hiyo kuwa na amani, kikitokea chochote ni lazima kitaletwa humu haraka.

Wewe fikiria kuna mtu anaweza kukupa na takwimu kabisa kwamba siku ya Ijumaa tarehe fulani website ilikuwa nzito kuanzia muda fulani mpaka muda fulani.
 
Hahahahaha! Mkuu kuwa na amani sana.

Kuna watu humu watafuta ajira wanashinda kwenye website kama tu wafanyakazi wa psrs, wanaingia asubuhi na kutoka jioni. Na mara nyingine wanabaki kazini mpaka saa tano au sita za usiku (over time).

Kwa hiyo kuwa na amani, kikitokea chochote ni lazima kitaletwa humu haraka.

Wewe fikiria kuna mtu anaweza kukupa na takwimu kabisa kwamba siku ya Ijumaa tarehe fulani website ilikuwa nzito kuanzia muda fulani mpaka muda fulani.
Hahahah Mkuu umetisha kwa ufafanuzi mzuri.
 
Tutoeni mawazo, ni ajabu sana kama tutaishia kujua kwamba pale Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima nina jamaa yangu wa Jf anaitwa Ahmet na bado sina namna ya kufaidika naye.

Au NAOT yuko ndugu yetu Mwifwa na kuna mtu anatamani kujua maisha ya pale ofisini yakoje lakini hana namna ya kumfikia tufauti na ID faki.

Au ukute una ndugu yako anataka kwenda kupigwa mionzi pale Ocean road na unajua kabisa kuna wizy lakini huna namna ya kumtumia kubadilishana mawazo.

Japo usiri uliowekwa Jf ni wa muhimu lakini kama wasomi ni vizuri tukawaza namna ya kufaidika na wataalamu wa humu.
Utasikia "Ukiwa na shida za kujua ABC za NAOT, wewe niPM tu" (jokes)

Privacy tuipe kipaumbele, hili halishindikani na wazo hili linaweza kutekelezeka vizuri tu.

Nafahamiana na watu humu nje ya JF na sijawahi kupata negative impact ya kufahamiana nao, na baadhi yao wamekuwa msaada kwangu
 
Back
Top Bottom