Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Wakati mnalilia kupangiwa kazi, basi mkumbuke kuwa katika kupangiwa huko kazi mnaweza kupelekwa Vijiji ambavyo kutoka Halmashauri husika ni zaidi ya 60KM

Kwahiyo sio mnafika huku mnaanza kuhaha kuanza kujutia na kulazimisha kuhama, vile unaitaka placement kwa hamu na shahuku basi ni hivo hivo uwe na shahuku ya kutaka kuhudumia Wananchi

Sio mnawaza kuondoa changamoto zenu tu za vipato bali mkumbuke mnatakiwa kwenda kutatua changamoto za Wanachi pia ndomana ukaenda shule hivo muwe na Passion na Taaluma zenu

Nimetoka kutembelea kituo changu cha kazi muda huu, na hizi mvua unaweza kutema bungu. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
aahh hilo tu? mie hata wakinipangia chini ya ardhi fresh tu cha msingi hewa iwepo..
 
Wakati mnalilia kupangiwa kazi, basi mkumbuke kuwa katika kupangiwa huko kazi mnaweza kupelekwa Vijiji ambavyo kutoka Halmashauri husika ni zaidi ya 60KM

Kwahiyo sio mnafika huku mnaanza kuhaha kuanza kujutia na kulazimisha kuhama, vile unaitaka placement kwa hamu na shahuku basi ni hivo hivo uwe na shahuku ya kutaka kuhudumia Wananchi

Sio mnawaza kuondoa changamoto zenu tu za vipato bali mkumbuke mnatakiwa kwenda kutatua changamoto za Wanachi pia ndomana ukaenda shule hivo muwe na Passion na Taaluma zenu

Nimetoka kutembelea kituo changu cha kazi muda huu, na hizi mvua unaweza kutema bungu. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
We we unaongea kama nani naomba tukutambue kwanza?

Unipange sehemu mbovu halfu nisihame kwanini serikali Iboreshe mazingira mazuri?
 
Ukijaribu kufuatilia kwa undani, psrs wana kasi kwelikweli ya kutangaza nafasi za kazi na kuita watu kwenye usaili. Baada ya usaili, speed ya kupangia watu kwenye vituo vya kazi (placement) kwa waliofanya hizo saili na kufaulu inashuka au haipo kabisa. Swali kwanini hatua hizo mbili za awali zinafanyika kwa speed kubwa inapofika hatua ya placement speed inapotea?
 
Ukijaribu kufuatilia kwa undani, psrs wana kasi kwelikweli ya kutangaza nafasi za kazi na kuita watu kwenye usaili. Baada ya usaili, speed ya kupangia watu kwenye vituo vya kazi (placement) kwa waliofanya hizo saili na kufaulu inashuka au haipo kabisa. Swali kwanini hatua hizo mbili za awali zinafanyika kwa speed kubwa inapofika hatua ya placement speed inapotea?
Now, no advertisement no placements!
 
Ukijaribu kufuatilia kwa undani, psrs wana kasi kwelikweli ya kutangaza nafasi za kazi na kuita watu kwenye usaili. Baada ya usaili, speed ya kupangia watu kwenye vituo vya kazi (placement) kwa waliofanya hizo saili na kufaulu inashuka au haipo kabisa. Swali kwanini hatua hizo mbili za awali zinafanyika kwa speed kubwa inapofika hatua ya placement speed inapotea?
Wanazingua sana ,limekuwa tatizo la muda mrefu .....
 
Kila mtu ana ndoto zake,Mimi nimesoma diploma ya kilimo na degree ya wanyamapoli,alafu ajira nikaajiriwa wizaran,wizara ya kilimo kwa level ya diploma,so nawaza Sana maana nikiendelea kukaa huku, degree yang haina thaman hapa wizara ya kilimo,inabidi kufanya mchakato niame wizara ya maliasili au taasisi zake(TANAPA, TAWA au ngorongoro)bado Nina safari ndefu sana japo asali ya wizaran ni TGS Ila posho,safari na extra duty kibao
Afadhali ukabakia hapo coz salary sio issue ,wengi wetu tunataka hizo posho,safari na extra duty.


we fahamu tu ,huu uzi unafuatiliwa sana na jobless pamoja na watumishi wa Halmashauri tunaotaka tuingie huko wizarani ama mashirika nyeti.

shukuru uko wizarani chief, tamisenga sio mchezo.
 
Kwenu PSRS tunaomba tena mtangaze nafasi za CDO'S au Community Development Officers uhitaji ni mkubwa sana kwenye nchi hii kila sehemu inabidi kuwepo CDO'S au utumike utaratibu kama ule wa Tamisemi kutangaza nafasi kisha mtu anaomba wao ndio wanapanga majina moja kwa moja.

Mtaani kugumu jamani, na muda wa kustafu unasogea kwa kasi mno ikiwa bado hatujalamba asali hata ya nyuki wakubwa.
 
Kwenu PSPRS tunaomba tena mtangaze nafasi za CDO'S au Community Development Officers uhitaji ni mkubwa sana kwenye nchi hii kila sehemu inabidi kuwepo CDO'S au utumike utaratibu kama ule wa Tamisemi kutangaza nafasi kisha mtu anaomba wao ndio wanapanga majina moja kwa moja.

Mtaani kugumu jamani, na muda wa kustafu unasogea kwa kasi mno ikiwa bado hatujalamba asali hata ya nyuki wakubwa.
wanatunza nafasi za 2024 kipenga cha uchaguzi kinalia Mwakani
 
Back
Top Bottom