El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
aahh hilo tu? mie hata wakinipangia chini ya ardhi fresh tu cha msingi hewa iwepo..Wakati mnalilia kupangiwa kazi, basi mkumbuke kuwa katika kupangiwa huko kazi mnaweza kupelekwa Vijiji ambavyo kutoka Halmashauri husika ni zaidi ya 60KM
Kwahiyo sio mnafika huku mnaanza kuhaha kuanza kujutia na kulazimisha kuhama, vile unaitaka placement kwa hamu na shahuku basi ni hivo hivo uwe na shahuku ya kutaka kuhudumia Wananchi
Sio mnawaza kuondoa changamoto zenu tu za vipato bali mkumbuke mnatakiwa kwenda kutatua changamoto za Wanachi pia ndomana ukaenda shule hivo muwe na Passion na Taaluma zenu
Nimetoka kutembelea kituo changu cha kazi muda huu, na hizi mvua unaweza kutema bungu. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]