Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

yaani nnimekom

unanikumbusha interview moja hiv nilienda dodoma nikawatangazia wazazi pamoja na majirani nikakandwa kwenye Written tu hata prac sijafikq nikazima simu.

unanikumbusha interview moja hiv nilienda dodoma nikawatangazia wazazi pamoja na majirani nikakandwa kwenye Written tu hata prac sijafikq nikazima simu. 😂 😂 😂
Inafanana kabisa na scenario yangu ya interview ya kwanza😂😂😂
 
inasema selected for oral interview
Sheikh kunywa juice, Kwenye dua zako za usiku usiombe tena Mungu nisaidie nipate kazi, Omba Kwa hapa nilipofika Mungu nisaidie nipate eneo la kazi lenye mazingira mazuri ya kazi ,hakuna fitna ,nuksi na kurogana na maslahi bora... Wewe ni mtumishi ...Hapo kwako Imebakia Subra maana Imani ipo tayari
 
Sheikh kunywa juice, Kwenye dua zako za usiku usiombe tena Mungu nisaidie nipate kazi, Omba Kwa hapa nilipofika Mungu nisaidie nipate eneo la kazi lenye mazingira mazuri ya kazi ,hakuna fitna ,nuksi na kurogana na maslahi bora... Wewe ni mtumishi ...Hapo kwako Imebakia Subra maana Imani ipo tayari
🤣🤣🤣🤣 we nipe moyo tu alafu nije nikandwe
 
Alafu kikubwa ni subra, Sasa wakuu kama wewe Tayari ushafanya Oral na subra inakuwa ngumu hivyo....

Yule ambaye hana hata Received afanyaje???...

Nyie Tulieni;- nawahaadi humu, before chrismass kuna shuhuda zitakuja humu si chini ya watu 10...

11--23 Kwenye range ya hizo tarehe 11pka 23) wale wa MDA & LGA wengi watachomokea hapo .

Kuna keka la kibane lipo jikoni, hilo keka ndio PSPRS wataenda kuchukulia sifa... Huu mwaka wadau hauishiiii
Wazee wa Matunguli AKA ma Afisa utamaduni vipi apo mkuu za chini ya kapeti IT Fabrizio Romano[emoji3][emoji3], Binafsi nafarijika sana na Shuhuda za wanajamvi toka safari walipotokea hadi kupata placement Mungu azidi kututia nguvu Siku njema zi mbele yetu.
 
Watu wa Umeme.
Watu wa CDO.
Watu wa makatibu afya.
Yani inshort unajijua ulikuwa database hili Pdf ambalo Analo IT ,linaitwa zoa zoa ..atawafurahisha

.... Make sure una nauli yako before Chrismass unaweza lia ukiwa kwenye Bus kwenda Dodoma....
Na afadhali iwe ivyo ,maana tushaonekana vibaka kabisa ,mtu unaenda piga interview Kwa kuunga unga ,unakuta umejichanga + kukopa na kupiga vizinga kwa wazazi
Mzazi kila siku anakuuliza interview mliyofanya vipi ,we mbona upo upo tu ?
Acha kabisa
 
Expectation kills....wakuuu... Yani unajikuta eti ushaanza plan unasema mimi kazini Tayari 😀....Ajira ni mchakato, lazima uumiee ,upigwe torture nyingiii....Alafu unamkuta mtu anapata kazi anaenda kuhonga, wakati Bimkubwa muda huu choo chake hakina mlango ameegesha makuti na matambara .... Kisa wewe kukusomesha na bado unamwambia bi mkubwa naomba niongezee kiasi fulani ,niende Dodoma kwenye interview Bimkubwa anakopa ,ana jinyima , Bimkubwa kula nyama kwake ni anasa, ..mtu unapata kazi unachukua laki 8 unaenda mnunulia simu Malaya, .... Oya wakuuu mtalaaniwaaaa
Mkuu umeandika kwa hisia Kali kinoma, dah na kweli hii asilimia kubwa wengi wanajisahau misoto waliyopitia, ndo mwanzo wa nuksi kazini maana unasahau mpaka waliojitoa ili upate
 
yaani ukishawaambia watu tu nikosa kubwa ilo.mie nilifanya hivyo alafu nikakandwa kila siku watu walikua wananiuliza nawaambia matokeo bado mpaka walichoka wakajiongeza wenyewe [emoji1787] [emoji1787]
Hahahaaa.

Mimi pia wakati napambana na mikando, watu wachache walikuwa wanajua tu.

Ndugu wengi walikuwa hawajui kama huwa napiga route za Dom isipokuwa mmoja tu ambaye nilikuwa namkopesha hela, ila ikifika siku za mikando ndio namdai na inakuwa nafuu kulipa kumbuka ndugu huwa hakopeshwi, mikando ilinifanya nipate nguvu ya kumdai.

Ukiachana na family yangu ndani, wwngine waliokuwa wanajua ni watu wa kijiweni tu sababu ya kuomba ruhusa huko kijiweni.

Kwa hiyo nilipokuwa nakandwa hawa watu ndio walikuwa wanajua tu.

Ndugu wengine walikuja kusherehekea tu ushindi baadae ndipo wakajua kumbe niliwahi kufanya mikando.

Kupiga hustle kimya kimya napo kuna faida yake, siku ukiibuka watu wataanza kushangaa na kukupa kaheshima hivi..
 
Back
Top Bottom