Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Sio haba wakikatakata hapo unaondoka na chochote kitu laki 9 hukosi.
Hivi kwa hizi Taasisi za government ukiachilia mbali tuseme salary kuna kiingne kinakuwa offered??

Mfano, hv kama Taasisi private ukiachilia mbali salary, unapata mara posho ya usafiri, posho ya Kodi ya nyumba, posho ya vocha n.k
Na zote mara nyingi zinawekwa kwa kila mwezi pamoja na salary.

Nisaidieni hapo kwa ufafanuzi wakuu.
 
Hivi kwa hizi Taasisi za government ukiachilia mbali tuseme salary kuna kiingne kinakuwa offered??

Mfano, hv kama Taasisi private ukiachilia mbali salary, unapata mara posho ya usafiri, posho ya Kodi ya nyumba, posho ya vocha n.k
Na zote mara nyingi zinawekwa kwa kila mwezi pamoja na salary.

Nisaidieni hapo kwa ufafanuzi wakuu.
Mshahara Pekee ndo unaingia kwa acc ya bank.

Posho kama za overtime,allowance na perdeim zinawezwa kulipwa kwa acc hiyo hiyo ila hizi hela zinasimamiwa na taasisi husika so wanautaratibu wako kwa kila taasisi.

Ila MSHAHARA ndo CONSTANT
 
Hivi kwa hizi Taasisi za government ukiachilia mbali tuseme salary kuna kiingne kinakuwa offered??

Mfano, hv kama Taasisi private ukiachilia mbali salary, unapata mara posho ya usafiri, posho ya Kodi ya nyumba, posho ya vocha n.k
Na zote mara nyingi zinawekwa kwa kila mwezi pamoja na salary.

Nisaidieni hapo kwa ufafanuzi wakuu.
Hakuna posho inawekwa kwenye mshahara kwa huku serikalini. Hizo taasisi zinazotoa Transport na housing allowance zipo zile zenye makusanyo. Perdiem hizi sio constant unaweza kukaa hata miezi 6 bila safari
 
Hivi kwa hizi Taasisi za government ukiachilia mbali tuseme salary kuna kiingne kinakuwa offered??

Mfano, hv kama Taasisi private ukiachilia mbali salary, unapata mara posho ya usafiri, posho ya Kodi ya nyumba, posho ya vocha n.k
Na zote mara nyingi zinawekwa kwa kila mwezi pamoja na salary.

Nisaidieni hapo kwa ufafanuzi wakuu.
Nakushauri kama private sector na wanalipa vizuri + hivyo vitu vingine achana na kazi za serikalini. Usije ukapata depression bure! Kuna Dr ameajiriwa serikalini hivi karibuni amejikuta kwenye mshangao baada ya kuona atalipwa kiwango kidogo sana tofauti na vile alitegemea na tena kupangiwa kituo cha kazi cha kijijini. Private alikuwa anakunja 5M, hulu sasa...nadhani inaeleweka Salary scale yake!!
 
Nakushauri kama private sector na wanalipa vizuri + hivyo vitu vingine achana na kazi za serikalini. Usije ukapata depression bure! Kuna Dr ameajiriwa serikalini hivi karibuni amejikuta kwenye mshangao baada ya kuona atalipwa kiwango kidogo sana tofauti na vile alitegemea na tena kupangiwa kituo cha kazi cha kijijini. Private alikuwa anakunja 5M, hulu sasa...nadhani inaeleweka Salary scale yake!!
1.48M kabla ya makato.
Kusema ukweli serikali usipofanya biashara au kilimo au kuwa fisadi utastaafu na ndoto zako kichwani.
 
Hakuna shuhuda humu Email za TRA walizokuwa wanapost wasailiwa kuhusu kuaza training Ni kwel Ijumaa waliaza.......
Tuache kurefresh email kila mara
Ma tiss wameanza training?

Taking tra na NSSF as a case study.
Sioni sababu ya kwanin nitamani utumishi wakae pembeni na taasis zishike mpini. Na kwa hii system ya kuitana kwa emails naamin kuna watu wameenda kuriport kazin bila ata kupiga interview.

Mwingine nae et nafasi za entry level zinakuwa internal vacancies na wanapost publicly, ya kazi gani sasa? Si bora wangetumiana kwenye magriup yao ya watsap. Mambo ni meng sana huko na bado tutaona mengi sana.
 
Ma tiss wameanza training?

Taking tra na NSSF as a case study.
Sioni sababu ya kwanin nitamani utumishi wakae pembeni na taasis zishike mpini. Na kwa hii system ya kuitana kwa emails naamin kuna watu wameenda kuriport kazin bila ata kupiga interview.

Mwingine nae et nafasi za entry level zinakuwa internal vacancies na wanapost publicly, ya kazi gani sasa? Si bora wangetumiana kwenye magriup yao ya watsap. Mambo ni meng sana huko na bado tutaona mengi sana.
hio ya internal ilivuja.....
 
Ongezeko lile ni Annual Increment kwa wale waliokuwa kazini ila ukianza kazi utakutana na ileile 1.48 ili kukutofautisha na senior
Hapana Mkuu iko hivo kwa MD nayeanza ni TGHS E1 1,530,000.
Hili ni ongezeko la zile 23% za 2022
Increment itaendelea Hadi atafika 1,550,000
 
Nakushauri kama private sector na wanalipa vizuri + hivyo vitu vingine achana na kazi za serikalini. Usije ukapata depression bure! Kuna Dr ameajiriwa serikalini hivi karibuni amejikuta kwenye mshangao baada ya kuona atalipwa kiwango kidogo sana tofauti na vile alitegemea na tena kupangiwa kituo cha kazi cha kijijini. Private alikuwa anakunja 5M, hulu sasa...nadhani inaeleweka Salary scale yake!!
Wewe ni muongo Dk alipwe million 5 huyo Dr wa nini ?

Hakuna mtu anayeweza kulipwa million 5 anaenda serikali
 
mambo tayari uko😂😂😂😂
Mambo gani?
Ma tiss wameanza training?

Taking tra na NSSF as a case study.
Sioni sababu ya kwanin nitamani utumishi wakae pembeni na taasis zishike mpini. Na kwa hii system ya kuitana kwa emails naamin kuna watu wameenda kuriport kazin bila ata kupiga interview.

Mwingine nae et nafasi za entry level zinakuwa internal vacancies na wanapost publicly, ya kazi gani sasa? Si bora wangetumiana kwenye magriup yao ya watsap. Mambo ni meng sana huko na bado tutaona mengi sana.
Ndio maana vijana wanapowabeza PSRS hapa mimi huwa nawaangaliaaa halafu nasema wangejua yanayoendelea huko kwenye taasisi wangekaa kimya na kuomba Mungu PSRS iongezewe nguvu taasisi zote zirudi na hadi kazi za mkataba na kujitolea zote zisimamiwe na Utumishi
 
Back
Top Bottom