Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

WAKUU HABARI.
Mimi naona nikate Tamaa kwa niliyosikia Tetesi.... Utumishi wataita tu watu ila tunatakiwa tuwe watulivu,sana... Kwa sababu serikali inafanya process za yale mashirika yaliyovunywa kuhamisha wale watumishi katika taasisi nyengine... Ndio maana kuna kimya kikubwa hapa kati.

MFano ;- kuna taasisi A ilikuwa inahitaji watu, basi badara ya kupelekwa wewe ataenda yule aliyetoka taasisi ambayo imevunjwa kama ana sifa za kada husika. Mfano ; ww ni afisa hesabu na yy ni afisa hesabu.

so majina yatatoka either yawahi au yachelewe but sio kwa kiwango kile, na hii imesababishwa na hilo jambo.

so kazi ya sekretariet ya ajira sasa, ni ku mobilize kwanza wale watumishi thn watatu solve na sisi. Asanteni na kwa herini maana nitaenda offline kwa muda wa mwezi mmoja.

Nimeweka bundle takribani miezi 2 mtawalia hili la kuvunja taasisi litatucheleweshea placement kwa namna moja au mbili.
umeona sasa
 
Kuna Raha yake asee fikiria mwaka 2023 ulikuwa jobless alafu mwaka 2024 unakukuta uko kwa HR anakushughulikia taarifa zako alafu on time unaanza kazi January 2024 dah Mungu tusimamie tujalie pdf zitakazofwata majina yetu yawemo, ntalala ofisi ntafanya kazi kuliko mchwa na nyuki asee pana Raha wakuu
 
Kuna Raha yake asee fikiria mwaka 2023 ulikuwa jobless alafu mwaka 2024 unakukuta uko kwa HR anakushughulikia taarifa zako alafu on time unaanza kazi January 2024 dah Mungu tusimamie tujalie pdf zitakazofwata majina yetu yawemo, ntalala ofisi ntafanya kazi kuliko mchwa na nyuki asee pana Raha wakuu
Ukizoea mshahara utaanza kutegea mkuu😂
 
Guys am so excited, natamani kuwaeleza jambo ila kwa furaha niliyonayo Ntaharibu. Nikitulia ntarudi

Ila tu niseme Nimetoboa pdfla leo.
nilipiga oral interview mwezi wa 10/18
TANAPA.
Hongera sana mkuu, hongera sana kwa kulamba asali, ukawe mtumishi mwema na mwadilifu ukachape kazi mkuu kila la kheri katika utumishi wako
 
Back
Top Bottom