Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hata Mimi namshangaa na anajisifu, humu Kuna watu wako EWURA wanamshangaa tu,
Mimi huko EWURA sijui wapi, wala sitaki... Nataka huu huu ndio saizi yangu. Alafu nikiona kama haunitoshi kuhama Taasisi kwenda Taasisi ni rahisi sana compare na kuhama halmshauri kwenda Taasisi cz ni vitu viwili tofauti.

Pia mimi kwenda Ewura / sijui Tanroads Hq / sijui TCRA sifanyi interview ila natakiwa nifanye connection tena ni rahisi kuliko ambaye bado hujaingia kwenye system alafu unataka kwenda Tanroads maana yake ukifanya interview hujui utapangiwa wapi ....Umeona apoooo enhhh, nimepigaje?? 🤣🤣

Wakati mimi naweza hata kesho kuambiwa hamia tanroads cz nina cheque number tayari
 
Mkuu M 1.6+ , thn huna mkopo board thn hapo una lower expectation kwa kigezo gani?? Yani huo mshahara ni mdogo??? Aiseee....

Thn sisi tunaojifanya tumesoma actually kiuhalisia hatuna akili, niogope kuishi kwa salary hiyo?? Mimi hata hiyo TGS B still ningetamba na ningetoboa tu. Kuna jamaa wanauzaga maji barabarani na wanafamilia ... Thn mpe hiyo kazi yako ya 450,000/= kwa mwaka thn uone atakavyokuwa katoboa.

Kupata kazi Taasisi ilikuwa kama bahati, ila hata halmashauri bado ningefurahi na kutamba hivi, Wewe hapo ukiambiwa una balance hata ya 1 M kwenye account huna. Thn mnasema sijui lower your expectation mshahara utaku suprise.... Yani ujobless unitese ,nipate tena kazi mshahara unitese mimi hata 400,000/= take home isingenitesa... Ukiwa na akili hela nyingi sana hiyo, unakopea bank hadi Million 30. Na dhamana ndio hiyo laki 4 unayoonea ndogo.

aisee inaoenekana hujawahi shika pesa, hio pesa subiri uzoee hio kazi utarudi hapa, watu tunakwambia from experience, me mwenyewe ni mtumishi na nina basic zaidi ya hio unayopata na posho za hapa na pale ila maisha hayajawahi kua rahisi ka unavyofikiria...tena kama ndo muhasibu ndo kabisa nyie sio watu wa site so safari zitakua za manati.
 
Huko EWURA, TANROAD ,TCRA, BANDARI now kuhamis rahisi sanaaaa cz ni suala la connection tuuu... Cz una cheque number...

Thn hata nikitaka nakuwa nafanya bila pressure cz huku kwenye kunene huko inaweza ikazidi laki 7 tuu... Labda na viposho. But wewe ambaye hujaingia au upo halmashauri ndio balaaa unalo kuhama, cz mimi kukutana na hao wadau is just a minutes... Sasa wewe ukikaaa umekaaa, hata chance ya maonyesho ya sababa hakuna... Hata international meeting na wadau hakuna ..So huko Tanroad hakunitishi nikitaka naenda.
 
Yani Nina Basic ya millioni na laki 6+. sina mkopo board.. ofisi ipo town, yani usipofunga dirisha unasikia sauti za honi za magari na brake. Alafu wewe wa Tgs D sijui E ..ile increment yako ya mwaka ...ifanye mara mbili ndio increment yangu ya mwaka.

Thn anatokea mtu anasema ooh ,sijui naniliu sijui nini[emoji1787], yani nipate beautifully salary ya hivi thn nilalamike..Si nitakuwa mwendawazimu.
Aiseee
 
Mkuu nimefika pale ,Eneo lipo karibu na chuo kabisa.... Mimi nikataka kula chipsi naambiwa hapa chipsi hakuna mpaka upande gari 600 ,kule ndio zipo. Pale nje hamna hata kijana wa kuuza zile skins na boyfriend jeans za kina dada.... Hakuna hata Airjordan za kupanga chini za wale ma brotherman... Sawa hata office za kuweka kucha kwa wale warembo wa chuo na wadada wa ushuani pale .... Hiyo Tuache... Wale watu wanapata shida ya chakula eneo lile mpka wapande gari... Yani hata matunda ya kukata hakuna... 🤣 ... Ukiuliza eti pale ushuani kama posta vile 🤣....Kama hujawahi fika sehemu kama POSTA. thn tafuta huduma ya kula uone balaa lake na buku 2 yako hiyo.
Ilo eneo haliwezi kuwa jiji au maanispaa ni halmashauri ya wilaya probably au ofisi ya mkuu wa wilaya
 
aisee inaoenekana hujawahi shika pesa, hio pesa subiri uzoee hio kazi utarudi hapa, watu tunakwambia from experience, me mwenyewe ni mtumishi na nina basic zaidi ya hio unayopata na posho za hapa na pale ila maisha hayajawahi kua rahisi ka unavyofikiria...tena kama ndo muhasibu ndo kabisa nyie sio watu wa site so safari zitakua za manati.
Acha ufujaji boss... Take home ya 1.3 haikutoshi?? Unaishije unakuwaje na michepuko jobless ? Hao ndio wanaokutia shoti.... Maana tuseme hata ule 30 perday unakula nini?? Unanunua nguo mpya kila mwezi?? .. kwa hela hiyo umeshindwa anzisha biashara yoyote ile hata iingize elfu 7 kwa siku?? NYIE wasomii ndio maana darasa la saba wanatupiga Gape .. take home 1.3 unasema maisha magumu 🤣🤣🤣 kuna mtu anapata faida kwa siku 10 na halalamiki maisha magumu kama wewe....

Kwa ulalamikaji huo hata ulipwe milioni 20 utalalamika tuu
 
Huko EWURA, TANROAD ,TCRA, BANDARI now kuhamis rahisi sanaaaa cz ni suala la connection tuuu... Cz una cheque number...

Thn hata nikitaka nakuwa nafanya bila pressure cz huku kwenye kunene huko inaweza ikazidi laki 7 tuu... Labda na viposho. But wewe ambaye hujaingia au upo halmashauri ndio balaaa unalo kuhama, cz mimi kukutana na hao wadau is just a minutes... Sasa wewe ukikaaa umekaaa, hata chance ya maonyesho ya sababa hakuna... Hata international meeting na wadau hakuna ..So huko Tanroad hakunitishi nikitaka naenda.
Boss punguza kidogo jeuri, majigambo na majisifu😂😂😂😂
 
Huko EWURA, TANROAD ,TCRA, BANDARI now kuhamis rahisi sanaaaa cz ni suala la connection tuuu... Cz una cheque number...

Thn hata nikitaka nakuwa nafanya bila pressure cz huku kwenye kunene huko inaweza ikazidi laki 7 tuu... Labda na viposho. But wewe ambaye hujaingia au upo halmashauri ndio balaaa unalo kuhama, cz mimi kukutana na hao wadau is just a minutes... Sasa wewe ukikaaa umekaaa, hata chance ya maonyesho ya sababa hakuna... Hata international meeting na wadau hakuna ..So huko Tanroad hakunitishi nikitaka naenda.

Taja kwanza taasisi uliopo
 
Acha ufujaji boss... Take home ya 1.3 haikutoshi?? Unaishije unakuwaje na michepuko jobless ? Hao ndio wanaokutia shoti.... Maana tuseme hata ule 30 perday unakula nini?? Unanunua nguo mpya kila mwezi?? .. kwa hela hiyo umeshindwa anzisha biashara yoyote ile hata iingize elfu 7 kwa siku?? NYIE wasomii ndio maana darasa la saba wanatupiga Gape .. take home 1.3 unasema maisha magumu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna mtu anapata faida kwa siku 10 na halalamiki maisha magumu kama wewe....

Kwa ulalamikaji huo hata ulipwe milioni 20 utalalamika tuu

sina neno, njoo tuongee baada ya mwaka mmoja.
 
Back
Top Bottom