Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Habari wanajukwaa.

Nami kipekee namshukuru Mungu kwa 2023, maana safari yangu ya kusaka ndoto yangu "dream job" imetimia.

Na leo ikiwa ni Jumapili ya mwisho kwa mwaka huu, nimeshiriki ibada na kuwaombea wote mnaohitaji kufanikiwa katika safari hii mfanikiwe iwe ndani ya saa chache zilizobakia za mwaka huu au katika mwaka ujao.

Niwaombeeni kheri ya mwaka mpya wenye mafanikio na Baraka za Mwenyezi Mungu.
Shukrani kaka kwa kutukumbuka wenzio katika sala zako kaka.
 
Back
Top Bottom