hjakalljcjxnxlhzkzmxjkxnx
Senior Member
- Jan 17, 2020
- 121
- 265
Yaishe wakuu
Turudi kwenye lengo la uzi hii vita ya maneno haitusaidii chochote
Turudi kwenye lengo la uzi hii vita ya maneno haitusaidii chochote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masters yako haina mshahara. Subiri miaka 4 upande darajaNaomba msaada wenu kwenye hili swali
Tupo pamoja kaka ni mambo yaliyo nje ya uwezo.Naona Asali umekupoteza kijiweni[emoji2][emoji2][emoji2]
Hamasa yako kwa wengine ni muhimu
Wewe umepigwa mhuri wa kukataliwa maana ulipopata uliomba hata utumishi wasitoe pdf ili wahitaji wakose, unatoa wapi moral authority ya kuwapa "hope"?
Huyu chizi amekuchotaje? Hajapata ajira huyuWewe haupendwi humu fahamu hilo, mimi nina ajira yangu tayari na nina side hustle ambayo ni babkubwa kijana be humble, yaani juzi tuu ulikuwa unatuomba tukupe kazi za kutuwekea window computer zetu, leo una less than 2M unakuja na porojo kibao.
Umekiri kukaa 8 years bila kazi hii ilitosha wewe kuwa humble ila angalia uharo unaoandika, ni ushamba mkubwa sana.
mbona HR alisema mwakani (mwaka huu July, 2024) nitaongezewa nyongeza mbili za mshahara kwa kuwa na masters, mim nataka kujua hizo nyongeza mbili ndo itafanya mshahara uwe sh ngap? pia akasema nikisubmit cheti cha PE baada ya miaka miwili kwenye utumishi nitakuwa Engineer I, ndo nataka kujua mshahara wa Engineer I ni ngap kwenye salary scale za PGSS?Masters yako haina mshahara. Subiri miaka 4 upande daraja
Nyongeza /annual increment usipigie hesabu sana Siku hizi hadi serikali ipende kuongeza. Kwenye appointment letter wanaeleza kiwango cha mshahara na kiasi cha increment/ongezeko kwa mwaka 2%mbona HR alisema mwakani (mwaka huu July, 2024) nitaongezewa nyongeza mbili za mshahara kwa kuwa na masters, mim nataka kujua hizo nyongeza mbili ndo itafanya mshahara uwe sh ngap? pia akasema nikisubmit cheti cha PE baada ya miaka miwili kwenye utumishi nitakuwa Engineer I, ndo nataka kujua mshahara wa Engineer I ni ngap kwenye salary scale za PGSS?
Asante nimejifunza kitu kuhusu 2%,.. hio double increment sijasema sio kwa ajili ya watumishi wote.. nimeuliza binafsi kama engineer..Nyongeza /annual increment usipigie hesabu sana Siku hizi hadi serikali ipende kuongeza. Kwenye appointment letter wanaeleza kiwango cha mshahara na kiasi cha increment/ongezeko kwa mwaka 2%
Ukiwa na masters utapata double 4% ya basic salary kwa watumishi wote sio engineer tu.
Kuhusu cheti cha ERB na kupanda kutoka Engineer II hadi I sijui kuhusu hilo.
Hiyo IPO kisheria kwa watumishi wote. Kama mwenye degree ataongezewa elfu 15 basi wa masters 30Asante nimejifunza kitu kuhusu 2%,.. hio double increment sijasema sio kwa ajili ya watumishi wote.. nimeuliza binafsi kama engineer..
Hahaha 😃 😃 😃 wapi huko unapoogelea kwenye dimbwi la asli kiongozi.Wewe mtoto mshamba sana we umereport juzi mimi tayari nipo kwenye system, nikusaidie kitu ukiona wewe umepata ujue kuna akina sie tumepata zaidi yaani tupo pazuri haswaaa, tunakushangaa unashindwa kutulia umewehuka kisa tu million [emoji38].
mwendo ule uleUtumishi tunaomba Pdf, ni mwanzo wa mwaka lakini mbona slow sana.
Wameshaita tayar??Wakuu waliyewahi kupiga post za Tehama (IT SECURITY).
- hasa zile za MDAs na LGAs.
Naomba Msaada wa Aina ya Maswali both practical na Oral.
Natanguliza Shukrani
Naomba mtajiAchana na utumishi jiajiri