Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Eeh jamn Electrical Engineers tupeane mchongo jamn huku tunasubir placement maana hali tete niko dodoma hapa aliekua huku tusaidiane
 
WAJOMBA MLIOFANYA TEST ZA LEO KADA ZA ACCOUNTS OFFICER II NA WATU WA KILIMO, VIPI WENZETU PAPER LILIKUWAJE AU NDIO MIKANDO JUU YA MIKANDO, MWENDO WA KUTOKA VICHWA CHINI.
 
WAJOMBA MLIOFANYA TEST ZA LEO KADA ZA ACCOUNTS OFFICER II NA WATU WA KILIMO, VIPI WENZETU PAPER LILIKUWAJE AU NDIO MIKANDO JUU YA MIKANDO, MWENDO WA KUTOKA VICHWA CHINI.
Ukiona hawajakujibu elewa hali si hali huko.
 
Placements za watu waliofanya usahili mwezi 4 onwards zitachelewa. Bungeni ndo kwanza wanajadili budget za wizara, budget zipitishwe, pesa ndo zitolewe then ndo mtaitwa kwenye placements maana mishahara yenu inatoka humohumo kwenye budget. Na mwaka mpya wa fedha unaanza nafikiri katikati au mwishoni mwa mwezi wa sita. Huu ni mtazamo wangu, kwaiyo placements kutoka ni baado !!!!
 
Placements za watu waliofanya usahili mwezi 4 onwards zitachelewa. Bungeni ndo kwanza wanajadili budget za wizara, budget zipitishwe, pesa ndo zitolewe then ndo mtaitwa kwenye placements maana mishahara yenu inatoka humohumo kwenye budget. Na mwaka mpya wa fedha unaanza nafikiri katikati au mwishoni mwa mwezi wa sita. Huu ni mtazamo wangu, kwaiyo placements kutoka ni baado !!!!
Mwaka wa Fedha huwa unaanza tarehe 1, July.
 
Back
Top Bottom