Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Daaa hizi pdf za PSRS izi zinakatisha tamaa💔,kuna kutoboa kweli uku? Shida iko wapi kutoa vpdf vya kuunga unga? Maelfu yanayopiga interview hawatuonei huruma jmn😭,Tumewakosea nn
huyu raisi amechangia kiasi kikubwa sana katika hili.sijui aliwaza nini kuweka mifumo miwili ya kuajiri maana hapo wewe unalalamika wenzio nyuma ya pazia wanaingia kiulaini tena taasisi nzitonzito sie tunasubiri mamikeka ya tutorial assistant
 
Back
Top Bottom