Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

mimi naamini kuna shida utumishi, huwezi kutangaza nafas 5 alafu ukaita watu wawili...
Ilitakiwa uite 5 alafu wanaobaki ndio database...
 
mimi naamini kuna shida utumishi, huwezi kutangaza nafas 5 alafu ukaita watu wawili...
Ilitakiwa uite 5 alafu wanaobaki ndio database...
Wanapachikana kama haijui nikwambie.

Mm nilifanya nafasi 50 waliihita watu 20 tu kazini wengine wanawapachika ma HR.

Siku zote nimekuwa nikimwambia Mungu sina connectetion ila nina Mungu
 
Habarini hope mko poa, ningependa niwatie moyo wenzangu ambao bado hamjafanikiwa kupata ajira kuwa wakati wa Mungu ni wakati sahihi, nimefuatilia uzi huu uzi tangu mwaka 2022 nikiwa sina ajira ila kupitia shuhuda za wadau humu nikajitia moyo kuwa namimi nitatoboa, mwaka 2023 nikafanikiwa kufanya interview ambayo ndio ilionipatia kazi na sasa nimesahau machungu ya nilopitia.
Ushauri wangu, usiache kufanya interview yoyote hata iwe na post moja, Jiandae vizuri huku ukimtanguliza Mungu pia, finally kuwa na subra kwani huwezi kujua kwanini mwingine amepata wewe umekosa.
Asanteni.
 
Habarini hope mko poa, ningependa niwatie moyo wenzangu ambao bado hamjafanikiwa kupata ajira kuwa wakati wa Mungu ni wakati sahihi, nimefuatilia uzi huu uzi tangu mwaka 2022 nikiwa sina ajira ila kupitia shuhuda za wadau humu nikajitia moyo kuwa namimi nitatoboa, mwaka 2023 nikafanikiwa kufanya interview ambayo ndio ilionipatia kazi na sasa nimesahau machungu ya nilopitia.
Ushauri wangu, usiache kufanya interview yoyote hata iwe na post moja, Jiandae vizuri huku ukimtanguliza Mungu pia, finally kuwa na subra kwani huwezi kujua kwanini mwingine amepata wewe umekosa.
Asanteni.
Asante kwa ushauri...ubarikiwe
 
Habarini hope mko poa, ningependa niwatie moyo wenzangu ambao bado hamjafanikiwa kupata ajira kuwa wakati wa Mungu ni wakati sahihi, nimefuatilia uzi huu uzi tangu mwaka 2022 nikiwa sina ajira ila kupitia shuhuda za wadau humu nikajitia moyo kuwa namimi nitatoboa, mwaka 2023 nikafanikiwa kufanya interview ambayo ndio ilionipatia kazi na sasa nimesahau machungu ya nilopitia.
Ushauri wangu, usiache kufanya interview yoyote hata iwe na post moja, Jiandae vizuri huku ukimtanguliza Mungu pia, finally kuwa na subra kwani huwezi kujua kwanini mwingine amepata wewe umekosa.
Asanteni.
Maneno haya tumeyasikia sana tumeyachoka!
 
Habarini hope mko poa, ningependa niwatie moyo wenzangu ambao bado hamjafanikiwa kupata ajira kuwa wakati wa Mungu ni wakati sahihi, nimefuatilia uzi huu uzi tangu mwaka 2022 nikiwa sina ajira ila kupitia shuhuda za wadau humu nikajitia moyo kuwa namimi nitatoboa, mwaka 2023 nikafanikiwa kufanya interview ambayo ndio ilionipatia kazi na sasa nimesahau machungu ya nilopitia.
Ushauri wangu, usiache kufanya interview yoyote hata iwe na post moja, Jiandae vizuri huku ukimtanguliza Mungu pia, finally kuwa na subra kwani huwezi kujua kwanini mwingine amepata wewe umekosa.
Asanteni.
😪😪😥😥 hizi faraja.....
Utumishi hii roho mmeaza lini...
Inamaa hamtuoni mateso tunayopita jobless tusio na connection....
 
Back
Top Bottom