Pinacoladee
JF-Expert Member
- May 22, 2023
- 858
- 1,120
Jobless mmetulia tuli,kweli mshazoeaa hali🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we unazani watu wametulia laiti kama web ingekua inasema ingesema..Jobless mmetulia tuli,kweli mshazoeaa hali🤣
Tumechinjwa...hatuna la kufanya...mimi napitia malalamiko ya vijana wa afya tu, naona wameanza kulia hata kabla ya mkandoJobless mmetulia tuli,kweli mshazoeaa hali🤣
Wanaliaa saana,,kwa walimu Sasa ndiyo itakuwa kilio zaidiiTumechinjwa...hatuna la kufanya...mimi napitia malalamiko ya vijana wa afya tu, naona wameanza kulia hata kabla ya mkando
Naona vijana mmeona fursa uko...mnawasaidia ku apply tuWanaliaa saana,,kwa walimu Sasa ndiyo itakuwa kilio zaidii
Tumekuwa mawakala wa PSRSNaona vijana mmeona fursa uko...mnawasaidia ku apply tu
Wapeni bei elekezi...maana naona hawaelewi..Tumekuwa mawakala wa PSRS
Mkuu ongea taratibu, wakikusikiaBinafsi nimefurahi kuona madaktari na walimu wanapambania Tonge kwa usaili hii ndio maana halisi ya utafutaji sasa.
🤣🤣🤣 Ngoja waje uku hawajauona huu uziMkuu ongea taratibu, wakikusikia
wanasema wamefanya kaz mwaka mzma...sasa interview ya nn🤣🤣🤣 Ngoja waje uku hawajauona huu uzi
Watulie mikando nje nje uko.wanasema wamefanya kaz mwaka mzma...sasa interview ya nn
Pengine maswal yatalegeaWatulie mikando nje nje uko.
Inawezekana Kwa wingi ule wa watu labda watakuja na style nyingine ya mikandoPengine maswal yatalegea
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kada nyingin hatufanyag kaz tunachezaga tuwanasema wamefanya kaz mwaka mzma...sasa interview ya nn
Sasa wao si hukohuko hospital za halmashaur ndio wanajitolea uko🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kada nyingin hatufanyag kaz tunachezaga tu
Watulie wakubali changes..wenyewe wanamrefer yle mzee Charles Darwin sasa tunataka tuone wana uwezo wa kuadapt aya mazingira mapya si wafanye tu interview wakawaonyeshe PSRS jinsi walivyo competent wawakande PSRS washazoeaa kutuonea kada nyingine sasa ni mwendo wa 90 to 100 🤣Sasa wao si hukohuko hospital za halmashaur ndio wanajitolea uko
Hawa september watakuwa wamesha report kazinpicha linaanza interview inaanza mwaka baada ya kuapply alafu matokeo miaka miwili baada ya interview 🤣 🤣