Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

tafuta ile pdf ya ajira portal,ila navojua ikiwa hujafata barua ndani ya wiki 2 unatumiwa kupitia address yako ulipo ila zikipita siku au sijui miezi 2 nafasi anapatiwa mtu mwengine,chakufanya nenda ofisi ya posta au ofisi ya sekretarieti ya ajira kupata taarifa kamili.
P.O.Box niliweka ya mchongo ili nisiache nafasi bila kujaza mkuu. Kwa sababu bila kujaza P.O.Box wasingeniruhusu kuendelea kufungua account
 
Wakuu nilikuwa napitia pdf nikakuta kumbe jina langu limo kwenye pdf ya mwezi wa 7 yaani mwezi ushakata make nilikuwa na majukumu sikuwa napitia website ya utumishi. Vipi nikienda utumishi wanaweza kunipa barua na nikaripoti kazini au ndo nimepoteza ajira kabisa.

Na je mtu usipoenda kuchukua barua na ikatokea kazi my nyingine unaweza kuomba?

Ambaye asha-experience issue kama ya kwangu naomba anipe mwongozo.
Huwa wanasema zikipita siku 7 tangu tangazo la placement litoke barua wanaituma kwenye sanduku la post ulilojaza.

Sasa inabidi ufuatilie kwenye sanduku la posta ulilojaza, baada ya hapo ndio utaweza kuamua kama uwafuate Migiro au la
 
Huwa wanasema zikipita siku 7 tangu tangazo la placement litoke barua wanaituma kwenye sanduku la post ulilojaza.

Sasa inabidi ufuatilie kwenye sanduku la posta ulilojaza, baada ya hapo ndio utaweza kuamua kama uwafuate Migiro au lakwa
Kwa muajiri unatakiwa kureport ndani ya muda gani tangu jina litokee kwenye pdf ?
 
dah jamaa kapishana na gari la mshahara.cha msingi aende utumishi tu..
nafikiri watampatia barua nyengine kama bado yupo ndani ya siku 21 tangu pdf lilipotoka sharti ikiwa kituo chake alichopangiwa hawakutoa taarifa utumishi ya kuto ripoti kwake huyo mwamba ikiwa zimezidi hizo siku 21
 
Wakuu nilikuwa napitia pdf nikakuta kumbe jina langu limo kwenye pdf ya mwezi wa 7 yaani mwezi ushakata make nilikuwa na majukumu sikuwa napitia website ya utumishi. Vipi nikienda utumishi wanaweza kunipa barua na nikaripoti kazini au ndo nimepoteza ajira kabisa.

Na je mtu usipoenda kuchukua barua na ikatokea kazi my nyingine unaweza kuomba?

Ambaye asha-experience issue kama ya kwangu naomba anipe mwongozo.
Nakushauri nenda utumisshi maelezo yote utapewa ,wao ndo wana majibu sahihi ya maswali yako
Niseme hongera kwa kupata kazi
 
Back
Top Bottom