Sasa hyo iliyotokea ya ambae ali ipata aliyemaliza 2023 kwanini asinge ipata uyo wa 2015. Tatizo naona wengi waliomaliza uko nyuma sana kama 2015 walitafutaga kazi thn ikafika kipind wakaacha kufuatilia labda baada ya mikando ya kutosha kiukweli haitakiwi kua ivyo mfumo hii mitihani ya awa jamaa wa ajira portal kaadri unavyoifanya kuna namna ukakua competent zaidi na ndo inapokufungulia bahati zaidi ya kupata nafasi, ukiamua kukaza kazi mpka mwisho kila post inayoendana na unachokifanya ww apply wakikukanda ludi home angalia ulipishana nao wapi jifue jiweke tena imara zikitoka nyengine luka nazo mwisho unajikuta umetoboa..
Mimi mwanzo zilikua zinanipa wakati mgumu hata writen nilikua sivuki ila kuna kitu nilijufunza nikawa kila writen nina uhakika wa kuvuka ila pract ikawa shuhuri ila baadae pia kuna kitu nikajifunza mara ya mwisho nimetoboa pract mbili na kuingia oral ingawa sijaitwa bado na wenzangu walishaitwa makazini lakini pia nako oral kuna kitu nimejifunza, sasahiv naomba mungu waniite izi nilizo apply natumae experience niliyoitapa itanisaidia..
Uku utumishi ni hakuna kukata tamaa mpka kieleweke na uku uzuri wake ni gombania gori mwenye msuli anakula shavu..